cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaahMpira haulipi kwa muwekezaji,godoro moja 50000 unatumia miaka mitano,mshahara wadube milioni 35 kwa mwezi
Mtamuua GSM alitaka kumuiga Mo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaahMpira haulipi kwa muwekezaji,godoro moja 50000 unatumia miaka mitano,mshahara wadube milioni 35 kwa mwezi
Mtamuua GSM alitaka kumuiga Mo
Ni muda muafaka injinia atimuliwe hapo utopolo,nafasi yake apewe khmisa mobbetto1. Engineer Hersi kavunja mkataba na Master Gamond hivyo Yanga italipa fidia.
2. Kaajiri kocha wa mchongo na kuna kila dalili atamtimua hivyo Yanga italazimika kulipa fidia.
3. Inasemekana anatarajia kuvunja mkataba na Baleke hivyo Yanga italazimika kulipa fidia.
4. Kocha wa viungo aliyekuja juzi ni pendekezo la mjerumani wa mchongo, nayeye atatimuliwa hivyo Yanga italazimika kulipa fidia.
5. Hivi tunavyo ongea FIFA inaitaka Yanga kulipa fidia ya mchezaji aliyevunjiwa mkataba.
TUTEGEMEE HUYU MTU KUTULETEA RIPOTI YA HASARA ZAIDI KWENYE MKUTANO MKUU MWAKANI.
NI MUDA WA KUMTIMUA MAANA ANAFANYA MAMBO KWA KUKURUPUKA.
Big mistake,ila nafikiri Ile njaa ya mafanikio ndio inamvuruga sana bwana mdogoo. Bado namwamini nahisi anatakiwa utilize Akili na apate washauri wema maana Yanga ni taasisi haamuu yeyetu. Kwasasa Hana kocha wakutimizaa ndoto zake.Hersi kwa Gamondi alifeli sana.
Yanga italipia