MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Suala la Yanga kumtuma ndg Andrew Mtime nchini Brazil katika shuguli ya msiba wa Pele Ni suala la kupongezwa na kila Mtanzania. Ndugu Andrew aliondoka nchini tarehe 31.12.2022.
Pamoja na kuwa watu watakaoshiriki mazishi ni familia pekee, Kuna taarifa isiyo rasmi inasema kuwa mwakilishi huyo atashiriki kuchukua nafasi moja iliyotolewa kwa ajili ya bara la Afrika ambalo Pele alilipenda na mara kadhaa alisema huki ndio nyumbani kwao hasa.
Pamoja na kuwa watu watakaoshiriki mazishi ni familia pekee, Kuna taarifa isiyo rasmi inasema kuwa mwakilishi huyo atashiriki kuchukua nafasi moja iliyotolewa kwa ajili ya bara la Afrika ambalo Pele alilipenda na mara kadhaa alisema huki ndio nyumbani kwao hasa.