MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Yanga na Pele ni damudamu kitambo, walikuwa marafiki toka Simba anahangaika kutokushuka darajaHahahaa watu wanajua kujipendekeza jamani khaa. Sasa uyo utopolo atapokelewa na nani kwanza
Aaahhh hhhwTangu juzi Da Babra analala msibani wametandika mazulia sebuleni kwa marehemu Pele, Da Babra anatuwakilisha Simba Sports Club.
Siba Guvu Moya 💪🏾
Acha Uongo amekwenda kibiashara zakeNi jambo jema, but watu watakuwa wengi atakumbukwa kutoa hizo salamu za Africa
Yanga na Pele ni damudamu kitambo, walikuwa marafiki toka Simba anahangaika kutokushuka darajaView attachment 2467091
Mikutano maalum ya CAF huwa hawatumi mtu bali kwenye misiba wanatumana.Suala la Yanga kumtuma ndg Andrew Mtime nchini Brazil katika shuguli ya msiba wa Pele Ni suala la kupongezwa na kila Mtanzania. Ndugu Andrew aliondoka nchini tarehe 31.12.2022.
Pamoja na kuwa watu watakaoshiriki mazishi ni familia pekee, Kuna taarifa isiyo rasmi inasema kuwa mwakilishi huyo atashiriki kuchukua nafasi moja iliyotolewa kwa ajili ya bara la Afrika ambalo Pele alilipenda na mara kadhaa alisema huki ndio nyumbani kwao hasa.
aliondoka lini??? huyu hapa chini ni nani???Suala la Yanga kumtuma ndg Andrew Mtime nchini Brazil katika shuguli ya msiba wa Pele Ni suala la kupongezwa na kila Mtanzania. Ndugu Andrew aliondoka nchini tarehe 31.12.2022.
Pamoja na kuwa watu watakaoshiriki mazishi ni familia pekee, Kuna taarifa isiyo rasmi inasema kuwa mwakilishi huyo atashiriki kuchukua nafasi moja iliyotolewa kwa ajili ya bara la Afrika ambalo Pele alilipenda na mara kadhaa alisema huki ndio nyumbani kwao hasa.
Nakumbuka msiba wa Malkia, kuna watu walifunga safari kwenda kwenye mazishi, lakini waliishia hotelini.... Yanga kumtuma ndg Andrew Mtime nchini Brazil katika shuguli ya msiba wa Pele Ni suala la kupongezwa
... watu watakaoshiriki mazishi ni familia pekee,