Yanga kurudiana na Alhilal: Mashabiki wa Simba wana hofu kuliko hata mashabiki wa Alhilal

Yanga kurudiana na Alhilal: Mashabiki wa Simba wana hofu kuliko hata mashabiki wa Alhilal

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Huu ndio ukweli japo mashabiki wa Simba hawawezi kukiri. Yaani Simba wana hofu mara mbili kama siyo mara tatu ya hofu walionayo Alhilal na mashabiki wake.

Mashabiki wa Alhilal wana hofu ya kawaida ya kimchezo kama ambavyo hata mashabiki wa Yanga wanayo.

Hata hivyo, kwa Simba hofu iiliyojificha iko juu mno na itazidi kadri siku zinavyokaribia.

Kwanini hali ni hii kwa Simba na mashabiki wake?

Rekodi nzuri ya Yanga katika ligi ya ndani.
Kwa sasa, Simba hawana la kusema unapokuja ubora wa Yanga katika ligi yetu na hoja yao kubwa kwa sasa ni mechi za kimataifa, Simba kujisifu kufanya vizuri kimataifa.

Kama nilivyogusia hapo juu, kwa sasa Simba wanategemea hiyo hoja tu ili kujibu mapigo panapotokea ubishani wa Simba na Yanga. Hivyo, Yanga akishinda, hili litakuwa ni pigo kubwa kwa Simba na mashabiki wake kuliko lile la Marekani kule Hiroshima nchini Japan.

Yanga kuifunga Simba mfululizo.
Kati ya vitu vinavyotesa Simba kwa sasa na kuwafanya wawe na machungu dhidi ya Yanga, ni kitendo cha Yanga kuifunga Simba mfululizo. Jambo hili linapoibuka, hoja pekee waliyonayo Simba kwa saa ni wao ni wakimataifa. Sasa jiulize, Yanga wakipundua meza, watabaki na hoja gani?

Yanga kucheza mechi zaidi ya arobaini bila kufungwa.
Hapa sihitaji kufafanua na ndiyo maana mnaona wanashangilia sare ya Yanga dhidi ya Alhilal kama vile Alhilal wameshinda.

Hivyo, kwa hoja hizo, Yanga akifanikiwa kupindua meza, maumivu kwa Simba na mashabiki wake yatakuwa sawa na maumivu ya kifo na huu ndiyo msingi wa hofu iliyojificha katika mioyo yao japo wanaonekana kuwa na furaha kwa matokeo waliyoyapata Yanga.

Kumbukeni wanaelewa vizuri ubora wa kikosi cha Yanga na nini wanaweza kukifanya wakijipanga vizuri na kurekebisha makosa yao.

Huu uzi hapa chini ni ushahidi wa wazi wa ninachokisema na huenda alieuandika ni mashabiki wa Simba.

 
Huu ndio ukweli japo mashabiki wa Simba hawawezi kukiri. Yaani Simba wana hofu mara mbili kama sio mara tatu ya hofu walionayo Alhilal na mashabiki wake.

Mashabiki wa Alhilal wana hofu ya kawaida ya kimchezo kama ambavyo hata mashabiki wa Yanga wanayo.

Hata hivyo, kwa Simba hofu iiliyojificha iko juu mno na itazidi kadri siku zinavyokaribia.

Kwanini hali ni hii kwa Simba na Mashabiki wake?

Record nzuri ya Yanga katika ligi ya ndani

Kwa sasa, Simba hawana la kusema unapokuja ubora wa Yanga katika ligi yetu na hoja yao kubwa kwa sasa ni mechi za kimataifa.

Simba kujisifu kufanya vizuri kimataifa

Kama nilivyogusia hapo juu, kwa sasa Simba wanategemea hiyo hoja tu ili kujibu mapigo panapotokea ubishani wa Simba na Yanga. Hivyo, Yanga akishinda, hili litakuwa ni pigo kubwa kwa Simba na mashabiki wake kuliko lile la Marekani kule Hiroshima nchini Japan

Yanga kuifunga Simba mfululizo

Kati ya vitu vinavyotesa Simba kwa sasa na kuwafanya wawe na machungu dhidi ya Yanga, ni kitendo cha Yanga kuifunga Simba mfululizo. Jambo hili linapoibuka, hoja pekee waliyonayo Simba kwa saa ni wao ni wakimataifa. Sasa jiulize, Yanga wakipundua meza, watabaki na hoja gani?

Yanga kucheza mechi zaidi ya arobaini bila kufungwa

Hapa sihitaji kufafanua na ndio maana mnaona wanashangilia sare ya Yanga dhidi ya Alhilal kama vile Alhilal wameshinda.

Hivyo, kwa hoja hizo, Yanga akifanikiwa kupindua meza, maumivu kwa Simba na mashabiki wake yatakuwa sawa na maumivu ya kifo na huu ndio msingi wa hofu iliyojificha katika mioyo yao japo wanaonekana kuwa na furaha kwa matokeo waliyoyapata Yanga.

Kumbukeni wanaelewa vizuri ubora wa kikosi cha Yanga na nini wanaweza kukifanya wakijipanga vizuri na kurekebisha makosa yao.

Huu uzi hapa chini ni ushahidi wa wazi wa ninachokisema na huenda alieuandika ni mashabiki wa Simba.

4877289D-BDEB-49B8-B3FD-B12EC6E2FA77.jpeg
 
رفتن نوعش نکسوس تلسننتط نکوواففبرشگ موودسسونانطسگ ننکاهستوگطپت[emoji378][emoji378][emoji378][emoji378] MOCHWARI کتثحگکوسوث[emoji196][emoji196][emoji196]UTOPOLOکوسکککطنKIBWANA SHOMARI ننیمنگAL HILAL
 
Huu ndio ukweli japo mashabiki wa Simba hawawezi kukiri. Yaani Simba wana hofu mara mbili kama siyo mara tatu ya hofu walionayo Alhilal na mashabiki wake.

Mashabiki wa Alhilal wana hofu ya kawaida ya kimchezo kama ambavyo hata mashabiki wa Yanga wanayo.

Hata hivyo, kwa Simba hofu iiliyojificha iko juu mno na itazidi kadri siku zinavyokaribia.

Kwanini hali ni hii kwa Simba na mashabiki wake?

Rekodi nzuri ya Yanga katika ligi ya ndani.
Kwa sasa, Simba hawana la kusema unapokuja ubora wa Yanga katika ligi yetu na hoja yao kubwa kwa sasa ni mechi za kimataifa, Simba kujisifu kufanya vizuri kimataifa.

Kama nilivyogusia hapo juu, kwa sasa Simba wanategemea hiyo hoja tu ili kujibu mapigo panapotokea ubishani wa Simba na Yanga. Hivyo, Yanga akishinda, hili litakuwa ni pigo kubwa kwa Simba na mashabiki wake kuliko lile la Marekani kule Hiroshima nchini Japan.

Yanga kuifunga Simba mfululizo.
Kati ya vitu vinavyotesa Simba kwa sasa na kuwafanya wawe na machungu dhidi ya Yanga, ni kitendo cha Yanga kuifunga Simba mfululizo. Jambo hili linapoibuka, hoja pekee waliyonayo Simba kwa saa ni wao ni wakimataifa. Sasa jiulize, Yanga wakipundua meza, watabaki na hoja gani?

Yanga kucheza mechi zaidi ya arobaini bila kufungwa.
Hapa sihitaji kufafanua na ndiyo maana mnaona wanashangilia sare ya Yanga dhidi ya Alhilal kama vile Alhilal wameshinda.

Hivyo, kwa hoja hizo, Yanga akifanikiwa kupindua meza, maumivu kwa Simba na mashabiki wake yatakuwa sawa na maumivu ya kifo na huu ndiyo msingi wa hofu iliyojificha katika mioyo yao japo wanaonekana kuwa na furaha kwa matokeo waliyoyapata Yanga.

Kumbukeni wanaelewa vizuri ubora wa kikosi cha Yanga na nini wanaweza kukifanya wakijipanga vizuri na kurekebisha makosa yao.

Huu uzi hapa chini ni ushahidi wa wazi wa ninachokisema na huenda alieuandika ni mashabiki wa Simba.

Nonsense
 
Huu ndio ukweli japo mashabiki wa Simba hawawezi kukiri. Yaani Simba wana hofu mara mbili kama siyo mara tatu ya hofu walionayo Alhilal na mashabiki wake.

Mashabiki wa Alhilal wana hofu ya kawaida ya kimchezo kama ambavyo hata mashabiki wa Yanga wanayo.

Hata hivyo, kwa Simba hofu iiliyojificha iko juu mno na itazidi kadri siku zinavyokaribia.

Kwanini hali ni hii kwa Simba na mashabiki wake?

Rekodi nzuri ya Yanga katika ligi ya ndani.
Kwa sasa, Simba hawana la kusema unapokuja ubora wa Yanga katika ligi yetu na hoja yao kubwa kwa sasa ni mechi za kimataifa, Simba kujisifu kufanya vizuri kimataifa.

Kama nilivyogusia hapo juu, kwa sasa Simba wanategemea hiyo hoja tu ili kujibu mapigo panapotokea ubishani wa Simba na Yanga. Hivyo, Yanga akishinda, hili litakuwa ni pigo kubwa kwa Simba na mashabiki wake kuliko lile la Marekani kule Hiroshima nchini Japan.

Yanga kuifunga Simba mfululizo.
Kati ya vitu vinavyotesa Simba kwa sasa na kuwafanya wawe na machungu dhidi ya Yanga, ni kitendo cha Yanga kuifunga Simba mfululizo. Jambo hili linapoibuka, hoja pekee waliyonayo Simba kwa saa ni wao ni wakimataifa. Sasa jiulize, Yanga wakipundua meza, watabaki na hoja gani?

Yanga kucheza mechi zaidi ya arobaini bila kufungwa.
Hapa sihitaji kufafanua na ndiyo maana mnaona wanashangilia sare ya Yanga dhidi ya Alhilal kama vile Alhilal wameshinda.

Hivyo, kwa hoja hizo, Yanga akifanikiwa kupindua meza, maumivu kwa Simba na mashabiki wake yatakuwa sawa na maumivu ya kifo na huu ndiyo msingi wa hofu iliyojificha katika mioyo yao japo wanaonekana kuwa na furaha kwa matokeo waliyoyapata Yanga.

Kumbukeni wanaelewa vizuri ubora wa kikosi cha Yanga na nini wanaweza kukifanya wakijipanga vizuri na kurekebisha makosa yao.

Huu uzi hapa chini ni ushahidi wa wazi wa ninachokisema na huenda alieuandika ni mashabiki wa Simba.

Wewe mwehu kweli, unazani ili yanga iage mashindano lazima ifungwe?
 
Manara yupo sahihi mno kusema mashabiki wa Yanga wengi wenu hamnazo
 
Wewe mwehu kweli, unazani ili yanga iage mashindano lazima ifungwe?
Mwehu ni wewe usielewa kuwa hata Yanga bado wana nafasi ugenini sass nyie kama nyumbu mnaamini game ndio imeisha kwa asilimia1 100. Sio kosa lenu mna frustrations.
 
Back
Top Bottom