Yanga kurudiana na Alhilal: Mashabiki wa Simba wana hofu kuliko hata mashabiki wa Alhilal

Yanga kurudiana na Alhilal: Mashabiki wa Simba wana hofu kuliko hata mashabiki wa Alhilal

Nani awe na hofu na timu takataka ambayo imeumaliza mwendo.

Hamna uwezo wa kupindua matokeo kwenye mashindano ya kiume. Huko hakuna kuhonga timu pinzani.
 
Nilijua huu Uzi ni WA mwezi uliopita kumbe wa Leo daah!!!
kazi kweli kweli
 
Eti mechi 40 bila kufungwa, nyinyi ni unbeaten wa mchongo. Maamuzi mabovu ya marefa wa mchongo ndio yamewaokoa kwenye mechi kadhaa msipate vipigo. Au tukutajie hizo mechi?
Eti mrekebishe makosa, suala sio kurekebisha makosa bali uwezo hamna maana huwezi kumrekebisha Job au Mwamnyeto acheze kama Inonga, hayo makosa mtarekebisha kwenye karatasi Ila uwanjani yatajirudia kutokana na wachezaji kuwa vilaza.
 
Eti mechi 40 bila kufungwa, nyinyi ni unbeaten wa mchongo. Maamuzi mabovu ya marefa wa mchongo ndio yamewaokoa kwenye mechi kadhaa msipate vipigo. Au tukutajie hizo mechi?
Eti mrekebishe makosa, suala sio kurekebisha makosa bali uwezo hamna maana huwezi kumrekebisha Job au Mwamnyeto acheze kama Inonga, hayo makosa mtarekebisha kwenye karatasi Ila uwanjani yatajirudia kutokana na wachezaji kuwa vilaza.
Inakuuma hiyo record!!!
 
Huu ndio ukweli japo mashabiki wa Simba hawawezi kukiri. Yaani Simba wana hofu mara mbili kama siyo mara tatu ya hofu walionayo Alhilal na mashabiki wake.

Mashabiki wa Alhilal wana hofu ya kawaida ya kimchezo kama ambavyo hata mashabiki wa Yanga wanayo.

Hata hivyo, kwa Simba hofu iiliyojificha iko juu mno na itazidi kadri siku zinavyokaribia.

Kwanini hali ni hii kwa Simba na mashabiki wake?

Rekodi nzuri ya Yanga katika ligi ya ndani.
Kwa sasa, Simba hawana la kusema unapokuja ubora wa Yanga katika ligi yetu na hoja yao kubwa kwa sasa ni mechi za kimataifa, Simba kujisifu kufanya vizuri kimataifa.

Kama nilivyogusia hapo juu, kwa sasa Simba wanategemea hiyo hoja tu ili kujibu mapigo panapotokea ubishani wa Simba na Yanga. Hivyo, Yanga akishinda, hili litakuwa ni pigo kubwa kwa Simba na mashabiki wake kuliko lile la Marekani kule Hiroshima nchini Japan.

Yanga kuifunga Simba mfululizo.
Kati ya vitu vinavyotesa Simba kwa sasa na kuwafanya wawe na machungu dhidi ya Yanga, ni kitendo cha Yanga kuifunga Simba mfululizo. Jambo hili linapoibuka, hoja pekee waliyonayo Simba kwa saa ni wao ni wakimataifa. Sasa jiulize, Yanga wakipundua meza, watabaki na hoja gani?

Yanga kucheza mechi zaidi ya arobaini bila kufungwa.
Hapa sihitaji kufafanua na ndiyo maana mnaona wanashangilia sare ya Yanga dhidi ya Alhilal kama vile Alhilal wameshinda.

Hivyo, kwa hoja hizo, Yanga akifanikiwa kupindua meza, maumivu kwa Simba na mashabiki wake yatakuwa sawa na maumivu ya kifo na huu ndiyo msingi wa hofu iliyojificha katika mioyo yao japo wanaonekana kuwa na furaha kwa matokeo waliyoyapata Yanga.

Kumbukeni wanaelewa vizuri ubora wa kikosi cha Yanga na nini wanaweza kukifanya wakijipanga vizuri na kurekebisha makosa yao.

Huu uzi hapa chini ni ushahidi wa wazi wa ninachokisema na huenda alieuandika ni mashabiki wa Simba.

Hebu acheni ujinga basi, hofu zenu mnazihamishia kwetu kivipi!! Pambaneni na Ibenge wenu sisi tunajipanga na yetu.
 
Sifa ya kuwa mwanasimba ni kujisifu kama Mandonga.
Na wewe ndio umethibitisha ujinga wako, mandonga ni timu gani vile? au yanga day na simba day hukuangalia wap alikuwepo mandonga na wap alikuwepo kaoneka?

Simba hawajadili yao wako kimya wanasubiri kumbamiza mtu kimya kimya mshangae wako makundi wamejikita kujadili yenu ilinwawachanganye na mmeshaingia mtego, na baht mbaya wakwanza kuchanganyikiwa ni nabi, unakumbuka alipeleka memo ya sub kwa refa mara ngap siku ya al hilal, kwann afanye vile wkt sio kaz yake? bila shaka alichanganywa na ile sare
 
Salary slip nakuita mara 3,njoo utuambie hapa kwamba Kikwete ana akili, Sunday Manara pia ana akili, hivi kwa nini yule mzungu poli hakumtaja salary slip kuwa naye ana akili?

Acha kujipitisha huku ukitingisha makalio mbele ya wanaume utaacha manyoya chura wewe!
 
Sifa ya kuwa mwanasimba ni kujisifu kama Mandonga.
Huko hakuna kuhonga marefa Wala kuhonga wapinzani mkuu kwa hyo kaa kwa kutulia wewe jiandae Na shirikisho tu Haina namna ukizingatia mechi haitarushwa live
 
Huu ndio ukweli japo mashabiki wa Simba hawawezi kukiri. Yaani Simba wana hofu mara mbili kama siyo mara tatu ya hofu walionayo Alhilal na mashabiki wake.

Mashabiki wa Alhilal wana hofu ya kawaida ya kimchezo kama ambavyo hata mashabiki wa Yanga wanayo.

Hata hivyo, kwa Simba hofu iiliyojificha iko juu mno na itazidi kadri siku zinavyokaribia.

Kwanini hali ni hii kwa Simba na mashabiki wake?

Rekodi nzuri ya Yanga katika ligi ya ndani.
Kwa sasa, Simba hawana la kusema unapokuja ubora wa Yanga katika ligi yetu na hoja yao kubwa kwa sasa ni mechi za kimataifa, Simba kujisifu kufanya vizuri kimataifa.

Kama nilivyogusia hapo juu, kwa sasa Simba wanategemea hiyo hoja tu ili kujibu mapigo panapotokea ubishani wa Simba na Yanga. Hivyo, Yanga akishinda, hili litakuwa ni pigo kubwa kwa Simba na mashabiki wake kuliko lile la Marekani kule Hiroshima nchini Japan.

Yanga kuifunga Simba mfululizo.
Kati ya vitu vinavyotesa Simba kwa sasa na kuwafanya wawe na machungu dhidi ya Yanga, ni kitendo cha Yanga kuifunga Simba mfululizo. Jambo hili linapoibuka, hoja pekee waliyonayo Simba kwa saa ni wao ni wakimataifa. Sasa jiulize, Yanga wakipundua meza, watabaki na hoja gani?

Yanga kucheza mechi zaidi ya arobaini bila kufungwa.
Hapa sihitaji kufafanua na ndiyo maana mnaona wanashangilia sare ya Yanga dhidi ya Alhilal kama vile Alhilal wameshinda.

Hivyo, kwa hoja hizo, Yanga akifanikiwa kupindua meza, maumivu kwa Simba na mashabiki wake yatakuwa sawa na maumivu ya kifo na huu ndiyo msingi wa hofu iliyojificha katika mioyo yao japo wanaonekana kuwa na furaha kwa matokeo waliyoyapata Yanga.

Kumbukeni wanaelewa vizuri ubora wa kikosi cha Yanga na nini wanaweza kukifanya wakijipanga vizuri na kurekebisha makosa yao.

Huu uzi hapa chini ni ushahidi wa wazi wa ninachokisema na huenda alieuandika ni mashabiki wa Simba.

Sisi wanaoelewa mambo ya kisaikolojia tunazijua hizo sababu mapema sana zinazowafanya mashabiki wa simba wafurahie yanga kutoa droo na kuona mechi imekwisha kwao, walichobaki nacho ni kuangalia sehemu yoyote ile ya kujibanza na kutafuta furaha angalau kwa muda mfupi maana awana la kuongea mbele ya yanga tofauti na kutafuta kichaka cha kujifichia ambacho ndo icho cha mechi za kimataifa, sasa endapo yanga atavuka na kwenda hatua ya makundi watakuwa kama kuku wa mdondo awatokuwa na hoja nyingine ya maana kwakuwa litakuwa ni pigo zito kwao ukizingatia wamepiga domo sana baada ya sare na kuyamaliza maneno yote wanayoyajua, kwaiyo wanaomba sana hilo lisitokee kwakuwa itakuwa ni aibu kubwa kwao, na kitu ambacho awakielewi ni kwamba wanayoyapost kwenye mitandao na wanayoyaongea kuwaponda wachezaji wa ynga ndio wanavyozidi kuwapa morali ya kuwaonyesha kwamba wao sio kama wanavyofikilia na wana uwezo wa kuwaonyesha wakoje ndani ya uwanja
 
Cha kushangaza wakati wao wanateseka, sisi mashabiki wa Yanga tuko tayari kwa matokeo yoyote yale! Kuna mambo yanastaajabisha sana kwa kweli.
 
Chukua hii[emoji117]Ibenge ndo kocha bora wa vilabu Africa baada Mosemane.

chukua nyingine hii[emoji117]Ibenge anawajua vizuri wachezaji wa Uto na namna ya kuwadhiti.
 
Back
Top Bottom