Utopologist
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 998
- 2,506
Nyani kaiga tena
Monkey see, monkey do
Monkey see, monkey do
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
watolewe mara ngapi? Ilitakiwa uulize, sasa kwa nini wamepewa jukumu hilo? 😁😁😁Sasa itakuaje wakitolewa [emoji23]
Yuko sahihi kabisa..ninswa na mgonjwa kansa mahututi kumwambia usijali kesho utarudi nyumbani mzima kbsWaziri wa Utalii alisema kuwa anaamini Yanga wataenda kupindua meza Nigeria
Watangaze sabuni za kuchubua ngozi.Mekako,Jaribu na mengineyo.😝😝😝😝hawa wanatoka sasa hivi sanasana watatangaza aibu ya taifa labda watangaze vivutio vya Kongo
Hapana hawajaiga Bali kwa pamoja (yanga & Simba)tunaweza kutangaza vivutio vyetu kupitia soccerWazee wa kuiga hahaa
Unakua Tanganyika sio TanzaniaUki visit Kilimanjaro unakua Kenya?
Ingeandikwa visit mt Kilimanjaro & Zanzibar Island.Ni jambo la kheri,japo haijakaa vyema sana...
Nao wangeandika Visit Tanzania sidhani kama Simba wangewakawatalia kwa kigezo cha kuiba idea
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
So mikia kwa mnavyodanganywa ile visit Tanzania ni idea ya babra sio,hii kitu mikia wamecopyNi jambo la kheri,japo haijakaa vyema sana...
Nao wangeandika Visit Tanzania sidhani kama Simba wangewakawatalia kwa kigezo cha kuiba idea
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
Povu...So mikia kwa mnavyodanganywa ile visit Tanzania ni idea ya babra sio,hii kitu mikia wamecopy
View attachment 1941966
View attachment 1941967
Povu umetoa wewe mnadai visit Tanzania kaanzisha babra Yanga wacopy kutoka kwenu while sunderland ashafanya kitamboPovu...
Kama kawaida
Mlikua wapi kuwnzisha ktk jezi zenu hapa tz?Idea ilianzia ulaya huko, na zaidi tukaona kwenye jezi za Arsenal "Risit Rwanda" Simba akakwapua humo ati sasa anajiona ndio mbunifu, ujinga mtupu.
Povu linaendelea...Povu umetoa wewe mnadai visit Tanzania kaanzisha babra Yanga wacopy kutoka kwenu while sunderland ashafanya kitambo
Simba wamehamia kufoji foji vitu kama zilivyo kampuni za Mo.So mikia kwa mnavyodanganywa ile visit Tanzania ni idea ya babra sio,hii kitu mikia wamecopy
View attachment 1941966
View attachment 1941967