Yanga kutangaza utalii kwenye jezi yao kimataifa

Yanga kutangaza utalii kwenye jezi yao kimataifa

Me nilijua wangekuja na

FCD93148-0E8A-42DB-A0C1-26685EAC9998.jpeg
 
Naomba watu wa guiness waje wachukue rekodi yao hapa, pasi na shaka yoyote ile huu ndio mkataba mfupi kuwahi kutokea toka soka lilipogundulika kwani mkataba huu umezinduliwa ijumaa na kuisha jumapili yaani siku tatu tu
Nimecheka sana
 
Kama issue ni kuiga, basi mwasisi wa mambo haya ni Rais Kagame wa Rwanda tangu mwaka 2019. Kwa hivyo hata Simba waliiga.
IMG_20210917_162919.jpg
 
Klabu ya Yanga imeamua kutangaza utalii katika jezi zao katika mechi za kimataifa! Wamefikia makubaliano hayo na Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia waziri wa wizara hiyo Dr. Damas Ndumbaro.

Yanga itatangaza bure Mlima Kilimanjaro pamoja na Visiwa vya marashi na karafuu (Zanzibar).
"Tumeamu kuunga mkono juhudi za Mh. Rais kwa kutangaza utalii kama alivyofanya kwenye royal tour" Alisema Kaimu CEO wa Yanga, Haji Mfikirwa.

Nembo hiyo ya kutangaza Utalii itakaa upande wa kushoto wa jezi hiyo!

Hii si mara ya kwanza kwa klabu ya Tanzania kutangaza utalii katika mechi za kimataifa, msimu uliopita Simba walitangaza utalii katika jezi zao walipokuwa wanashiriki hatua ya makundi ya klabu bingwa Afrika!

Hongereni Yanga, kuiga vitu vizuri sio jambo baya!!

View attachment 1941840
Wanatangaza mechi moja tu nje[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanaenda kutangaza jumapili tu, nadhaninkwa wao inatosha hio
 
Ni jambo la kheri,japo haijakaa vyema sana...
Nao wangeandika Visit Tanzania sidhani kama Simba wangewakawatalia kwa kigezo cha kuiba idea

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app

Mna uhusiano na yule Mwamba Kavirondo (RIP) diwani wa Isamilo na Meya wa zamani wa Jiji la Mwanza
 
Klabu ya Yanga imeamua kutangaza utalii katika jezi zao katika mechi za kimataifa! Wamefikia makubaliano hayo na Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia waziri wa wizara hiyo Dr. Damas Ndumbaro.

Yanga itatangaza bure Mlima Kilimanjaro pamoja na Visiwa vya marashi na karafuu (Zanzibar).
"Tumeamu kuunga mkono juhudi za Mh. Rais kwa kutangaza utalii kama alivyofanya kwenye royal tour" Alisema Kaimu CEO wa Yanga, Haji Mfikirwa.

Nembo hiyo ya kutangaza Utalii itakaa upande wa kushoto wa jezi hiyo!

Hii si mara ya kwanza kwa klabu ya Tanzania kutangaza utalii katika mechi za kimataifa, msimu uliopita Simba walitangaza utalii katika jezi zao walipokuwa wanashiriki hatua ya makundi ya klabu bingwa Afrika!

Hongereni Yanga, kuiga vitu vizuri sio jambo baya!!

View attachment 1941840
Wakatangazie Nanjilinji huko
 
Back
Top Bottom