Yanga kutangaza utalii kwenye jezi yao kimataifa

Mi naomba serikali kupitia wizara husika watengeneze nembo maalum halafu ingeomba team zote zinazoshiriki Mashindano ya kimataifa kwenye jersey zao waweke hiyo nembo popote pale.. then serikali iwe walafu ina fidia sehem ya gharama team hizo zinapoenda kucheza mechi nje au team pinzan zikija maana team pinzan zikija kuna gharama team mwenyeji anaingia ni vile tu team zinaogopa hujuma wanajigharamia

Pia mfano kila team itakayovaa nembo hiyo basi walau tiket za ndege za watu kumi serikali inachangia..

yaan serikali ingetoa hilo tamko na ikawa zoez endelevu kila mwaka kuanzia clubs hadi team
za taifa... sio lazima ila club itakayofanya hivyo wanapata bonus ya kulipiwa sehem ya gharama za kwenda na kurud

maana yake ss hv biashara, azam, Simba , Yanga zote jearsy zao zingekuwa na nembo ya utalii ambayo iwe ni Twiga, Mlima kilimanjaro, na Visiwa vya Zanzibar.. inakuwa kwenye nembo moja..
na neno Visit Tanzania

mara mia ifanyike hivi kuliko wizara ilivyoingia gharama ya kupeleka wasanii mlimani wakat kwenye kearsy mashabiki wangenunua na kuvaa mwaka mzima na bado zoez lingekuwa la kudumu kila msimu
 
Sema Yanga chenga sana sasa si wamebakiza game moja tu ya kimataifa au wanataka kusema kwamba slogan yao ya Dar to Lagos itawapeleka hatua inayofuata😏😏
 
Visit klm and zanzibar alafu unaenda aga mashindano...
Afadhali azam wafanye hivi au biashara...sio hawa return of aibu...
Alafu hivi hawanaga wazo jipya nao wakaanzisha? Kuiga mazuri ni vizuri ila pia wawe wanabuni nao mapya ili wengine waige...
 
Idea ilianzia ulaya huko, na zaidi tukaona kwenye jezi za Arsenal "Risit Rwanda" Simba akakwapua humo ati sasa anajiona ndio mbunifu, ujinga mtupu.
Mlikua wapi kuwnzisha ktk jezi zenu hapa tz?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…