Yanga kuvutiwa na jezi ya Al Ahly ni jambo linalofikirisha sana

Siyo kila kitu unakiandikia uzi mkuu,nasubiri kwa hamu siku utakayoleta uzi kuhusu JINSI ULIVYOPATA MIMBA
 
Maelezo yote hayo lakini hakuna sehemu ulipoonesha wanavyovutiwa na izo jezi? Wewe ni zaidi ya mbumbumbu
Aiseeh hata mim sijaelewa alitaka kutuambia nin sisi wana jf sports manake kajipiga mitama sana mpaka kapoteza uelekeo.
Hata nyuzi ya kusajiliwa kwa Yao alikuja na porojo million ila kwasasa nadhani anaona aibu kweli Kila akiona ile comment yake.
Umbumbumbu ni kipaji hakizeeki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…