Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Simjui uyo kibu ndo mana nikauuliza ana kombe lolote mbona neno "kombe" limekushtua sana mkuu?Hoja imekuwa kombe tena?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simjui uyo kibu ndo mana nikauuliza ana kombe lolote mbona neno "kombe" limekushtua sana mkuu?Hoja imekuwa kombe tena?
Umesahau kuwa upande wao wenye akili wawili?Hoja imekuwa kombe tena?
Mbona umeandika sentensi ndefu sana? Shida ni nini. Hii ni sawa na paragraph 3Y
NYOTA KADHAA WA KIMATAIFA YANGA WATAIKOSA FAINALI TANGA, Klabu ya Yanga itawakosa Fiston Mayele na Stephen Aziz Ki ambao wameitwa kwenye timu zao za taifa kuelekea kalenda ya FIFA, huku wakiwa wameondoka mapema leo kwenda kwenye majukumu yao. Kama hivyo haitoshi Yanga ilipambana kuhakikisha angalau Djigui Diarra wa Mali, Kennedy Musonda wa Zambia na Khalid Aucho wa Uganda waweze kusalia kambini kucheza fainali ila nao imeshindikana kwa Diarra na Musonda kwakuwa Mashirikisho yao yamekaza ni Uganda pekee wameridhia Aucho aripoti baada ya fainali kwakuwa sio mbali. Kwanini imetokea hivyo? Ni kuwa fainali ya FA CUP imepangwa muda ambao kalenda ya FIFA inaanza, huku inafahamika kuwa wachezaji walioitwa timu zao za taifa ni mali ya Federation hivyo kutoripoti mapema kambini ni kosa ambalo Mchezaji anaweza kukumbana na adhabu, huku kwenye kalenda rasmi huu ni wakati wa mechi za Kimataifa. Mpaka hivi sasa Mali na Zambia tayari wametuma tiketi kwa Wachezaji wao na wanahitaji waliripoti kabla leo haijapita kambini, nje na hapo Yanga wamepewa taarifa Wachezaji hawatopokelewa na adhabu stahiki zitachukuliwa kwa Wachezaji. Maswali kichwani mwa Yanga mpaka hivi sasa ni je? Yanga watakaidi amri na kuwatumia wachezaji hao kesho na kupokea adhabu? Ndicho kinasubiriwa mpaka hivi sasa, chanzo changu bado hakijapata maamuzi ya mwisho ya Yanga. Hizi ni taarifa ambazo nimezipata kutoka kwa vyanzo vyangu hivyo uwezekano ni rotation kubwa ya kikosi kwa Yanga hapo kesho.
View attachment 2653776
Utachukuliwa bila mahari shauri yako.Jana.
kazi ipo...NYOTA KADHAA WA KIMATAIFA YANGA WATAIKOSA FAINALI TANGA, Klabu ya Yanga itawakosa Fiston Mayele na Stephen Aziz Ki ambao wameitwa kwenye timu zao za taifa kuelekea kalenda ya FIFA, huku wakiwa wameondoka mapema leo kwenda kwenye majukumu yao.
Kama hivyo haitoshi Yanga ilipambana kuhakikisha angalau Djigui Diarra wa Mali, Kennedy Musonda wa Zambia na Khalid Aucho wa Uganda waweze kusalia kambini kucheza fainali ila nao imeshindikana kwa Diarra na Musonda kwakuwa Mashirikisho yao yamekaza ni Uganda pekee wameridhia Aucho aripoti baada ya fainali kwakuwa sio mbali. Kwanini imetokea hivyo?
Ni kuwa fainali ya FA CUP imepangwa muda ambao kalenda ya FIFA inaanza, huku inafahamika kuwa wachezaji walioitwa timu zao za taifa ni mali ya Federation hivyo kutoripoti mapema kambini ni kosa ambalo Mchezaji anaweza kukumbana na adhabu, huku kwenye kalenda rasmi huu ni wakati wa mechi za Kimataifa.
Mpaka hivi sasa Mali na Zambia tayari wametuma tiketi kwa Wachezaji wao na wanahitaji waliripoti kabla leo haijapita kambini, nje na hapo Yanga wamepewa taarifa Wachezaji hawatopokelewa na adhabu stahiki zitachukuliwa kwa Wachezaji. Maswali kichwani mwa Yanga mpaka hivi sasa ni je?
Yanga watakaidi amri na kuwatumia wachezaji hao kesho na kupokea adhabu? Ndicho kinasubiriwa mpaka hivi sasa, chanzo changu bado hakijapata maamuzi ya mwisho ya Yanga. Hizi ni taarifa ambazo nimezipata kutoka kwa vyanzo vyangu hivyo uwezekano ni rotation kubwa ya kikosi kwa Yanga hapo kesho.
View attachment 2653776
Mtego huo... utakapowaona kesho hutoaminiKuna video yanga wanaenda Tanga asbh, mayel na azz k hawapo
Samahan iko alichonyenyua Mayele ni kombe au Blender ya kusaga juice n.k.NYOTA KADHAA WA KIMATAIFA YANGA WATAIKOSA FAINALI TANGA, Klabu ya Yanga itawakosa Fiston Mayele na Stephen Aziz Ki ambao wameitwa kwenye timu zao za taifa kuelekea kalenda ya FIFA, huku wakiwa wameondoka mapema leo kwenda kwenye majukumu yao.
Kama hivyo haitoshi Yanga ilipambana kuhakikisha angalau Djigui Diarra wa Mali, Kennedy Musonda wa Zambia na Khalid Aucho wa Uganda waweze kusalia kambini kucheza fainali ila nao imeshindikana kwa Diarra na Musonda kwakuwa Mashirikisho yao yamekaza ni Uganda pekee wameridhia Aucho aripoti baada ya fainali kwakuwa sio mbali. Kwanini imetokea hivyo?
Ni kuwa fainali ya FA CUP imepangwa muda ambao kalenda ya FIFA inaanza, huku inafahamika kuwa wachezaji walioitwa timu zao za taifa ni mali ya Federation hivyo kutoripoti mapema kambini ni kosa ambalo Mchezaji anaweza kukumbana na adhabu, huku kwenye kalenda rasmi huu ni wakati wa mechi za Kimataifa.
Mpaka hivi sasa Mali na Zambia tayari wametuma tiketi kwa Wachezaji wao na wanahitaji waliripoti kabla leo haijapita kambini, nje na hapo Yanga wamepewa taarifa Wachezaji hawatopokelewa na adhabu stahiki zitachukuliwa kwa Wachezaji. Maswali kichwani mwa Yanga mpaka hivi sasa ni je?
Yanga watakaidi amri na kuwatumia wachezaji hao kesho na kupokea adhabu? Ndicho kinasubiriwa mpaka hivi sasa, chanzo changu bado hakijapata maamuzi ya mwisho ya Yanga. Hizi ni taarifa ambazo nimezipata kutoka kwa vyanzo vyangu hivyo uwezekano ni rotation kubwa ya kikosi kwa Yanga hapo kesho.
View attachment 2653776
Unadhan yule aliesema ule upande wenye akili ni wawili tu alikosea.Hoja imekuwa kombe tena?
Dah! Mechi ya kesho tutabebwa tu na ubovu wa uwanja wa Mkwakwani. Maana Azam Fc siyo wazuri kwenye viwanja vya Mikoani, ukiwalinganisha na Yanga.
Ila ukija kwenye uhalisia! Azam wanalihitaji hili kombe kwa ari ya juu sana ukilinganisha na Yanga ambayo haina cha kupoteza. Yaani sijui ni kwa nini! Ninashindwa kabisa kuwapa Yanga nafasi ya kuchukua ubingwa hiyo kesho.
Utani tu mkuu,usipaniki tunapunguza stress.Utachukuliwa bila mahari shauri yako.
Una roho ya mama wa kamboSasa Azizi Ki naye ni wakumpigia mahesabu kama hoja ya kuonesha gape?
Au mnatafuta excuse tu na nyinyi muonekano mnalakujitetea iwapo matokeo yakaja against?
Mechi ya hapa kwa Mkapa dhidi ya USM ALGER mmesahau kwamba huyu jamaa ndio aliwafanya muonekane mpo 10 uwanjani.
Sijasema hatulihitaji hilo kombe. Huu ni mtazamo wangu tu. Na huu siyo mtazamo wa klabu.Kwa hiyo mnataka kusema hamlihitaji kombe kiviiile. Yanga bwana 🤣😂🤣
Kama Nabi.Una roho ya mama wa kambo
Wivu na chuki ni combination hatari inaua mapema sanaKama Nabi.
Maana navyomuelezea mimi hata Nabi alishawahi kumuelezea the same way
Hapo sawaUtani tu mkuu,usipaniki tunapunguza stress.
Kwa hiyo Nabi anachuki na Azizi Ki?Wivu na chuki ni combination hatari inaua mapema sana
Jitoe akiliKwa hiyo Nabi anachuki na Azizi Ki?
Kwa maana hiyo kifo cha Nabi kipo karibu?
Mbona unapenda vibaya sana?
Ninazo basiJitoe akili