Yanga kwa utaratibu huu watalia siku moja

Yanga kwa utaratibu huu watalia siku moja

Kweli bhana! Watu wakituonea kipindi cha kwanza halafu wakakaza itakuwa issue aisee. Hapa Nabi apatazame
 
tangu kuanza kwa ligi klabu ya Yanga imekuwa ikipata matokeo kipindi cha pili. wasipobadilika itawacost siku moja hasa katika mashindano ya CAF coz timu zijazo sio za kitoto.
Maoni mazuri kabisa. Pamoja ma kwamba mpira ni dk90, kuurahisisha mchezo ni kitu muhimu sana. Kinawapa wachezaji kujiamini na kucheza kwa utulivu.
Kipindi cha pili ni kipindi chenye pressure kubwa. Ikitokea umewahiwa unakuwa kwenye hatari kubwa.
Jambo lingine ni matumizi sahihi ya nafasi. Huko tuendako hasa CAF Champion league uwezekano wa kupata clear chances nyingi sana ni mdogo.
 
Maoni mazuri kabisa. Pamoja ma kwamba mpira ni dk90, kuurahisisha mchezo ni kitu muhimu sana. Kinawapa wachezaji kujiamini na kucheza kwa utulivu.
Kipindi cha pili ni kipindi chenye pressure kubwa. Ikitokea umewahiwa unakuwa kwenye hatari kubwa.
Jambo lingine ni matumizi sahihi ya nafasi. Huko tuendako hasa CAF Champion league uwezekano wa kupata clear chances nyingi sana ni mdogo.
umesema vyema sama
 
Back
Top Bottom