Yanga lazima tukubali kujifunza kwa Simba kama tunataka kufanya vizuri kimataifa

Yanga lazima tukubali kujifunza kwa Simba kama tunataka kufanya vizuri kimataifa

Nimeangalia vizuri sana mechi ya Simba akimlarua USGN 4:0. Kusema ukweli Simba waliupiga. Dk zote 90, USGN walikimbizwa mchaka mchaka bila kupumzika. Ubora wa kila mchezaji ulikuwa juu mno,uwezo wa kupasiana,speed,ubunifu vyote vilikuwa Superb!

Yanga ina wachezaji bora ila nadhani ni kwa ligi ya ndani. Linapokuja suala la mashindano ya kimataifa km Champions leage" na "Confederation" lazima uwe na wachezaji wenye kariba na viwango vya kina Morrison, Sahko, Bwalya, Banda Shabalala, Kapombe na Onyango, hasa hapo kwa viungo washambuliaji. Simba inaviungo fulani hivi wenye uwezo binafsi na wanaojua sana kutembeza msako kwenye mechi ngumu zenye presha na zinazohitaji matokeo. Yanga wana viungo wazuri lakini wanacheza ki "Father" hasa Bangala na Aucho, ambapo kwa mechi ngumu iliyochafuka na inayohitaji kujituma na kujitoa kwa zaidi ya asilimia 100 itakuwa ngumu sana kwa Yanga kupata matokeo.

Hivyo kwa maoni yangu na kwa ujumla,Yanga wanatakiwa waboreshe maeneo yafuatayo:-

1. Kutafta beki bora na mzoefu wa kushoto. Hadi sasa Yanga haina beki wa kushoto mwenye viwango vya kimataifa. Faridi ni kama deiwaka tu si wa kumtegemea moja kwa moja.

2. Waongeze Beki wa kati wa kusaidiana na Mwamnyeto kwani kimo cha Job ni tatizo hasa kwa mechi za kimataifa.

3. Kuongeza Mawinga mafundi wa pembeni hasa kulia. Bado nina mashaka na uwezo wa Moloko na Ushindi. Nkane ana vitu vingi vya kuendelea kujifunza.

4. Kusajili namba 10 wa viwango vya Chama.Mfano yule Aziz Ki wa Asec.Naheshimu uwezo wa kina Fei,Ntibazonkiza na Sureboy. Lakini Sureboy umri umeenda,Ntibazonkiza nae umri, Yakuba sina hakika na utimamu wake kutokana na majeruhi ya muda mrefu. Feitoto katumika sana na majeruhi yameanza kumwandama.

5. Kuongeza mshambuliaji mmoja wa kumsaidia Mayele.

6. Eneo la kiungo mkabaji wamuongeze Aziz Andambwile kuziba pengo la Mukoko ili endapo Aucho au Bangala hawako sawa asaidie.

7.Waachane na baadhi ya wachezaji kama Kaseke, Yusuf, Ninja, Johora na kama ikibidi Makambo na Ushindi nao watupishe sioni km watatusaidia.

NB: Ili kufanya vizuri katika mashindano makubwa lazima uwe na kikosi kipana kilichosheheni wachezaji bora waliotayari kucheza na kushinda km ilivyo kwa Simba. Angalia wanashinga goli 4:0 Kagere na Boko wakiwa benchi. Hii ni balaa!

Maendeleo hayana vyama. Hongera sana mtani umeendelea kuonyesha njia kimataifa.

Nawasilisha.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
JamiiForums-1751592819.jpg
 
Angalau hao ambao kombe lao ni robo faifali maana mshiko wake ($ 350,000) si wa kitoto!! Kuliko ambao kombe lao ni kucheza mechi mbili hatua za awali na kutolewa!!
Jifunze ku edit michango yako kabla ya kupost.
 
Kwahiyo wale kina Mugalu, Boko na Kagere ndio wanamzidi Mayele?

Acha bangi.
Mimi huwa natumia ubongo.

Hakuna mahali nimewalinganisha mugalu na kagere vs Mayele. Wala sijawazungumzia.Punguza ushabiki maandazi.

Tatu hapa tunazungumzia mechi za kimataifa kwamba Yanga wanahitaji straik a bora zaidi ( bora zaidi ya Mayele, sijui km umeelewa) kwa ajili ya uhakika wa kupata matokeo kimataifa.

Kumbuka Huyu Mayelle alifungwa nje ndani na Simba akiwa asVita club.Na waliishia makundi.

Kama Ni bangi basi alivuta kocha wako Nabi aliyeona mbali na kusema wanahitaji straika wa viwango zaidi ya Mayele kwa ajili mwakani kimataifa..

Mayelle anaweza kuwa bora kwa ligi yetu tu kimataifa asikupe matokeo.

Sasa kimataifa Mayele na Mugalu Nani bora.mugalu ana goli 2 ,ambazo mayele Hana.

Wewe Ni mjinga flani ivi ambae anasoma na haelewi bali kuhemka na kuanzae kudemka.

HAKUNA UTOPOLO mwenye akili! Ni Manara alisema,siyo mm.
 
NAKATAA KATA KATA... WEWE SIYO YANGA. NAKATAA KABISA. YANGA HAWEZI KUWA NA AKILI KAMA ZAKO. YANGA HAWEZI WAZA NAMNA HIII... MWANAYANGA ATAPINGA KILA SIMBA INACHOFANYA... NDO YANGA TULIVYO . WEWE UNAONEKANA UNAUJUA MPIRA NA UNAUPENDA SIYO MSHABIKI WA YANGA.
😀😀 😀 😀 I see. Mbona umewashusha sana thami vyura FC?
 
Simba kukutana na
Pirates
Tp mazembe
Al hilaly Tripoli

Kati ya hizi 3
 
mimi nilikasirika sana Luc Eymael aliposema wanayanga ni Mbwa na Nyani tu... nilikasirika sana. ila kwa haya maneno yako. naona nilikasirika bure tu. jamaa jana wamekunja mil 800,000,000. africa inawaheshimu wapo nafasi ya 12 katika klabu bora Africa. wewe bado unakuwa na wivu wa kike? roho ya kichawi na maisha ya kimaskini? why lakini kakijana kadogo uwe na roho mbaya ,chafu yenye kujaa mapepo? utakufa mapema sana kwa sababu ya kuwa na roho mbaya....umekauka na roho kukauka... unaishi katika kwa shida,mateso na chuki binafsi. Simba si wa kujilinganisha nao kimafanikio.. tufikie hatua Upumbavu tuuweke pembeni. roho mbaya haijengi ni kujitesa tu kwa chuki n.k
Mkuu nachelea kukwambia karibu msimbazi utoke uko kwa misukule yule mchumia tumbo alishawambia kua uko mwenye akili ni wawili2 waliosalia wote wanaugua USONJI
 
Wewe ni shabiki halisi wa Yanga. Kila ulicho kiandika kina ukweli. Naamini Viongozi kama wapo humu, basi watafanyia kazi.

Lakini pia nichukue nafasi hii kuwapongeza watani wetu Simba kwa kufuzu robo fainali Kombe la Shirikisho. Naamini utani tulio watania, umechangia kwa sehemu yake kwenye mapambano yao.

Na wajitahidi wafike nusu fainali sasa! Siyo kuvimba tu kichwa. Ushindi wa jana umeshapita. Hivyo wajipange kwa hatua inayo fuata.

Na sisi Yanga Insha Allah msimu ujao hatutaishia tena hatua ya awali.
Wewe ni miongoni mwa wanamichezo. Unafaa kuigwa.
 
Nimeangalia vizuri sana mechi ya Simba akimlarua USGN 4:0. Kusema ukweli Simba waliupiga. Dk zote 90, USGN walikimbizwa mchaka mchaka bila kupumzika. Ubora wa kila mchezaji ulikuwa juu mno,uwezo wa kupasiana,speed,ubunifu vyote vilikuwa Superb!

Yanga ina wachezaji bora ila nadhani ni kwa ligi ya ndani. Linapokuja suala la mashindano ya kimataifa km Champions leage" na "Confederation" lazima uwe na wachezaji wenye kariba na viwango vya kina Morrison, Sahko, Bwalya, Banda Shabalala, Kapombe na Onyango, hasa hapo kwa viungo washambuliaji. Simba inaviungo fulani hivi wenye uwezo binafsi na wanaojua sana kutembeza msako kwenye mechi ngumu zenye presha na zinazohitaji matokeo. Yanga wana viungo wazuri lakini wanacheza ki "Father" hasa Bangala na Aucho, ambapo kwa mechi ngumu iliyochafuka na inayohitaji kujituma na kujitoa kwa zaidi ya asilimia 100 itakuwa ngumu sana kwa Yanga kupata matokeo.

Hivyo kwa maoni yangu na kwa ujumla,Yanga wanatakiwa waboreshe maeneo yafuatayo:-

1. Kutafta beki bora na mzoefu wa kushoto. Hadi sasa Yanga haina beki wa kushoto mwenye viwango vya kimataifa. Faridi ni kama deiwaka tu si wa kumtegemea moja kwa moja.

2. Waongeze Beki wa kati wa kusaidiana na Mwamnyeto kwani kimo cha Job ni tatizo hasa kwa mechi za kimataifa.

3. Kuongeza Mawinga mafundi wa pembeni hasa kulia. Bado nina mashaka na uwezo wa Moloko na Ushindi. Nkane ana vitu vingi vya kuendelea kujifunza.

4. Kusajili namba 10 wa viwango vya Chama.Mfano yule Aziz Ki wa Asec.Naheshimu uwezo wa kina Fei,Ntibazonkiza na Sureboy. Lakini Sureboy umri umeenda,Ntibazonkiza nae umri, Yakuba sina hakika na utimamu wake kutokana na majeruhi ya muda mrefu. Feitoto katumika sana na majeruhi yameanza kumwandama.

5. Kuongeza mshambuliaji mmoja wa kumsaidia Mayele.

6. Eneo la kiungo mkabaji wamuongeze Aziz Andambwile kuziba pengo la Mukoko ili endapo Aucho au Bangala hawako sawa asaidie.

7.Waachane na baadhi ya wachezaji kama Kaseke, Yusuf, Ninja, Johora na kama ikibidi Makambo na Ushindi nao watupishe sioni km watatusaidia.

NB: Ili kufanya vizuri katika mashindano makubwa lazima uwe na kikosi kipana kilichosheheni wachezaji bora waliotayari kucheza na kushinda km ilivyo kwa Simba. Angalia wanashinga goli 4:0 Kagere na Boko wakiwa benchi. Hii ni balaa!

Maendeleo hayana vyama. Hongera sana mtani umeendelea kuonyesha njia kimataifa.

Nawasilisha.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
hawana akili hizo za kukuelewa, labda muwa-format vichwa vyao mu-install ubongo mwingine.
 
Nimeangalia vizuri sana mechi ya Simba akimlarua USGN 4:0. Kusema ukweli Simba waliupiga. Dk zote 90, USGN walikimbizwa mchaka mchaka bila kupumzika. Ubora wa kila mchezaji ulikuwa juu mno,uwezo wa kupasiana,speed,ubunifu vyote vilikuwa Superb!

Yanga ina wachezaji bora ila nadhani ni kwa ligi ya ndani. Linapokuja suala la mashindano ya kimataifa km Champions leage" na "Confederation" lazima uwe na wachezaji wenye kariba na viwango vya kina Morrison, Sahko, Bwalya, Banda Shabalala, Kapombe na Onyango, hasa hapo kwa viungo washambuliaji. Simba inaviungo fulani hivi wenye uwezo binafsi na wanaojua sana kutembeza msako kwenye mechi ngumu zenye presha na zinazohitaji matokeo. Yanga wana viungo wazuri lakini wanacheza ki "Father" hasa Bangala na Aucho, ambapo kwa mechi ngumu iliyochafuka na inayohitaji kujituma na kujitoa kwa zaidi ya asilimia 100 itakuwa ngumu sana kwa Yanga kupata matokeo.

Hivyo kwa maoni yangu na kwa ujumla,Yanga wanatakiwa waboreshe maeneo yafuatayo:-

1. Kutafta beki bora na mzoefu wa kushoto. Hadi sasa Yanga haina beki wa kushoto mwenye viwango vya kimataifa. Faridi ni kama deiwaka tu si wa kumtegemea moja kwa moja.

2. Waongeze Beki wa kati wa kusaidiana na Mwamnyeto kwani kimo cha Job ni tatizo hasa kwa mechi za kimataifa.

3. Kuongeza Mawinga mafundi wa pembeni hasa kulia. Bado nina mashaka na uwezo wa Moloko na Ushindi. Nkane ana vitu vingi vya kuendelea kujifunza.

4. Kusajili namba 10 wa viwango vya Chama.Mfano yule Aziz Ki wa Asec.Naheshimu uwezo wa kina Fei,Ntibazonkiza na Sureboy. Lakini Sureboy umri umeenda,Ntibazonkiza nae umri, Yakuba sina hakika na utimamu wake kutokana na majeruhi ya muda mrefu. Feitoto katumika sana na majeruhi yameanza kumwandama.

5. Kuongeza mshambuliaji mmoja wa kumsaidia Mayele.

6. Eneo la kiungo mkabaji wamuongeze Aziz Andambwile kuziba pengo la Mukoko ili endapo Aucho au Bangala hawako sawa asaidie.

7.Waachane na baadhi ya wachezaji kama Kaseke, Yusuf, Ninja, Johora na kama ikibidi Makambo na Ushindi nao watupishe sioni km watatusaidia.

NB: Ili kufanya vizuri katika mashindano makubwa lazima uwe na kikosi kipana kilichosheheni wachezaji bora waliotayari kucheza na kushinda km ilivyo kwa Simba. Angalia wanashinga goli 4:0 Kagere na Boko wakiwa benchi. Hii ni balaa!

Maendeleo hayana vyama. Hongera sana mtani umeendelea kuonyesha njia kimataifa.

Nawasilisha.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Wajifunze kufika robo finally? Kwann wasijifunze kwa TP Mazembe ?
 
Nimeangalia vizuri sana mechi ya Simba akimlarua USGN 4:0. Kusema ukweli Simba waliupiga. Dk zote 90, USGN walikimbizwa mchaka mchaka bila kupumzika. Ubora wa kila mchezaji ulikuwa juu mno,uwezo wa kupasiana,speed,ubunifu vyote vilikuwa Superb!

Yanga ina wachezaji bora ila nadhani ni kwa ligi ya ndani. Linapokuja suala la mashindano ya kimataifa km Champions leage" na "Confederation" lazima uwe na wachezaji wenye kariba na viwango vya kina Morrison, Sahko, Bwalya, Banda Shabalala, Kapombe na Onyango, hasa hapo kwa viungo washambuliaji. Simba inaviungo fulani hivi wenye uwezo binafsi na wanaojua sana kutembeza msako kwenye mechi ngumu zenye presha na zinazohitaji matokeo. Yanga wana viungo wazuri lakini wanacheza ki "Father" hasa Bangala na Aucho, ambapo kwa mechi ngumu iliyochafuka na inayohitaji kujituma na kujitoa kwa zaidi ya asilimia 100 itakuwa ngumu sana kwa Yanga kupata matokeo.

Hivyo kwa maoni yangu na kwa ujumla,Yanga wanatakiwa waboreshe maeneo yafuatayo:-

1. Kutafta beki bora na mzoefu wa kushoto. Hadi sasa Yanga haina beki wa kushoto mwenye viwango vya kimataifa. Faridi ni kama deiwaka tu si wa kumtegemea moja kwa moja.

2. Waongeze Beki wa kati wa kusaidiana na Mwamnyeto kwani kimo cha Job ni tatizo hasa kwa mechi za kimataifa.

3. Kuongeza Mawinga mafundi wa pembeni hasa kulia. Bado nina mashaka na uwezo wa Moloko na Ushindi. Nkane ana vitu vingi vya kuendelea kujifunza.

4. Kusajili namba 10 wa viwango vya Chama.Mfano yule Aziz Ki wa Asec.Naheshimu uwezo wa kina Fei,Ntibazonkiza na Sureboy. Lakini Sureboy umri umeenda,Ntibazonkiza nae umri, Yakuba sina hakika na utimamu wake kutokana na majeruhi ya muda mrefu. Feitoto katumika sana na majeruhi yameanza kumwandama.

5. Kuongeza mshambuliaji mmoja wa kumsaidia Mayele.

6. Eneo la kiungo mkabaji wamuongeze Aziz Andambwile kuziba pengo la Mukoko ili endapo Aucho au Bangala hawako sawa asaidie.

7.Waachane na baadhi ya wachezaji kama Kaseke, Yusuf, Ninja, Johora na kama ikibidi Makambo na Ushindi nao watupishe sioni km watatusaidia.

NB: Ili kufanya vizuri katika mashindano makubwa lazima uwe na kikosi kipana kilichosheheni wachezaji bora waliotayari kucheza na kushinda km ilivyo kwa Simba. Angalia wanashinga goli 4:0 Kagere na Boko wakiwa benchi. Hii ni balaa!

Maendeleo hayana vyama. Hongera sana mtani umeendelea kuonyesha njia kimataifa.

Nawasilisha.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Mimi nitapishana kimawazo na wewe. Yanga wanaweza wakasajili hao wachezaji bora kama uliowashauri na bado wasifikie mafanikio walioweza kuyapata simba kwenye michuano ya kimataifa. Swala la simba sidhani kama ni kwamba wana wachezaji bora wa kimataifa bali wamejipanga zaidi kwa mechi za home, Simba wanaweza kuwa mnyonge ughaibuni lakini wanapokuwa uwanja wa mkapa wanabadilika kuwa mazombi kiasi kwamba kila aliyekuwa akisemwa kwa kiwango kibovu anabadilika anakuwa mithili ya Neymar. Hapa ndipo pa Yanga kujifunza kwa Simba kuwa wanawezaje, au wanafanyaje. Nilishawahi kusema humu kuwa laiti kama hizi timu zisingejengwa katika misingi ya uhasama basi tungeshuhudia uongozi wa Yanga ikienda kuomba ushauri mwa Simba mbinu gani wanafanya ikibidi hata timu zote kupeana nguvu inapokuja mchuano ya kimataifa.

Lakini ndio kwanza Yanga imekuwa na wivu, unafiki, husuda, na kujifanya wajuaji kwamba wanaweza kufanya makubwa zaidi lakini wanaishia kudondokea pua hatua ya awali tu.
 
Mimi nitapishana kimawazo na wewe. Yanga wanaweza wakasajili hao wachezaji bora kama uliowashauri na bado wasifikie mafanikio walioweza kuyapata simba kwenye michuano ya kimataifa. Swala la simba sidhani kama ni kwamba wana wachezaji bora wa kimataifa bali wamejipanga zaidi kwa mechi za home, Simba wanaweza kuwa mnyonge ughaibuni lakini wanapokuwa uwanja wa mkapa wanabadilika kuwa mazombi kiasi kwamba kila aliyekuwa akisemwa kwa kiwango kibovu anabadilika anakuwa mithili ya Neymar. Hapa ndipo pa Yanga kujifunza kwa Simba kuwa wanawezaje, au wanafanyaje. Nilishawahi kusema humu kuwa laiti kama hizi timu zisingejengwa katika misingi ya uhasama basi tungeshuhudia uongozi wa Yanga ikienda kuomba ushauri mwa Simba mbinu gani wanafanya ikibidi hata timu zote kupeana nguvu inapokuja mchuano ya kimataifa.

Lakini ndio kwanza Yanga imekuwa na wivu, unafiki, husuda, na kujifanya wajuaji kwamba wanaweza kufanya makubwa zaidi lakini wanaishia kudondokea pua hatua ya awali tu.
Unazani Simba ingekuwa na kina ajibu,Edo Christopher,Ndemla na Kichuya ingeweza kushinda mechi za nyumbani dhidi Al ahly? Try to be serious. Simba imewekeza kwenye kusajili wachezaji bora ndio maana inaweza kushinda home games.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Unazani Simba ingekuwa na kina ajibu,Edo Christopher,Ndemla na Kichuya ingiweza kushinda mechi za nyumbani dhidi Al ahly? Try to be serious. Simba imewekeza kwenye kusajili wachezaji bora ndio maana inaweza kushinda home games.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Na mimi nakuuliza swali je kama hao wachezaji ni bora kwanini mechi za away hawaoneshi ubora wao?
 
Unazani Simba ingekuwa na kina ajibu,Edo Christopher,Ndemla na Kichuya ingiweza kushinda mechi za nyumbani dhidi Al ahly? Try to be serious. Simba imewekeza kwenye kusajili wachezaji bora ndio maana inaweza kushinda home games.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Mpaka hapo hilo swali haliwezi kuwa valid kwsababu nikitu cha kufikirika zaidi na hakuwezi kuwa na uhalisia. Hapo wewe umetumia hisia kuwa Simba wangekuwa na akina Ajibu wasingefanya vyema mechi za nyumbani.

Twende kwenye fact sasa

Hivi kwanzia msimu huu umeanza ni shabiki gani wa simba ambaye alikuwa yuko proud na uwepo wa Mugalu?

Mashabiki wa Simba waliamini msimu huu ukiachana na Sakho, Inonga, na Tshabalala na Onyango hawana mchezaji wa maana walionao. Humu jukwaa la michezo walifikia kutaja wachezaji wanaopaswa kuachwa na hiyo yote ni kutokana kuwa ni wachezaji wa kawaida sana ( wameshuka kiwango)
Kanoute ni mchezaji ambaye ilionekana aliyemsajili kaleta garasa. Sio mimi niliyesema bali mashabiki wa Simba na ushahidi upo humu jukwaani. Lakini haya yote yanayosemwa mashabiki wanakereka kutokana performance za wachezaji katika mashindano yote kwa ujumla.

Lakini linapokuja uwanja wa Mkapa kwenye michuano ya kimataifa kwa Simba, hakuna mchezaji mbovu, boko ambaye anasemwa kila kukicha kwa ubovu lakini ikifikia kupangwa kwenye mechi za kimataifa kwa Mkapa awi tena Boko bali ni CR7.

Yanga kujifunza kwa Simba wakiishia kuiga kwa usajili wa ma professional eti ndio tiba watachemka. Kama wana nia ya kufuata nyayo za Simba basi wakae nao chini waombe mbinu na namna ambayo imefanikisha japo najua ni jambo ni ngumu kupewa ushirikiano kwa asilimia mia kutokana na namna hizi klabu zilivyojiwekea uhasama baina yao
 
Kwahiyo wale kina Mugalu, Boko na Kagere ndio wanamzidi Mayele?

Acha bangi.
Sasa mayele mfuga ng'ombe ana magoli mangapi kweny shirikisho?m naona mugalu anamzidi mbalii...kweny nbc magoli yale ni ya kununua tu .
 
Mpaka hapo hilo swali haliwezi kuwa valid kwsababu nikitu cha kufikirika zaidi na hakuwezi kuwa na uhalisia. Hapo wewe umetumia hisia kuwa Simba wangekuwa na akina Ajibu wasingefanya vyema mechi za nyumbani.

Twende kwenye fact sasa

Hivi kwanzia msimu huu umeanza ni shabiki gani wa simba ambaye alikuwa yuko proud na uwepo wa Mugalu?

Mashabiki wa Simba waliamini msimu huu ukiachana na Sakho, Inonga, na Tshabalala na Onyango hawana mchezaji wa maana walionao. Humu jukwaa la michezo walifikia kutaja wachezaji wanaopaswa kuachwa na hiyo yote ni kutokana kuwa ni wachezaji wa kawaida sana ( wameshuka kiwango)
Kanoute ni mchezaji ambaye ilionekana aliyemsajili kaleta garasa. Sio mimi niliyesema bali mashabiki wa Simba na ushahidi upo humu jukwaani. Lakini haya yote yanayosemwa mashabiki wanakereka kutokana performance za wachezaji katika mashindano yote kwa ujumla.

Lakini linapokuja uwanja wa Mkapa kwenye michuano ya kimataifa kwa Simba, hakuna mchezaji mbovu, boko ambaye anasemwa kila kukicha kwa ubovu lakini ikifikia kupangwa kwenye mechi za kimataifa kwa Mkapa awi tena Boko bali ni CR7.

Yanga kujifunza kwa Simba wakiishia kuiga kwa usajili wa ma professional eti ndio tiba watachemka. Kama wana nia ya kufuata nyayo za Simba basi wakae nao chini waombe mbinu na namna ambayo imefanikisha japo najua ni jambo ni ngumu kupewa ushirikiano kwa asilimia mia kutokana na namna hizi klabu zilivyojiwekea uhasama baina yao
Mashabiki km nyie ndio mmesababisha timu zetu zisiendelee kwa kuendekeza mahaba uchwala badala ya kuzungumza ukweli. Watu wanaingia robo fainali ya 3 ndani ya miaka 4 bado unaamini hawana kikosi bora?

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom