CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,477
Ndio maana wakaitwa manyani f.c.
Mwenye hela ndiyo nembo yake.Acheni kulilia mirangirangi.Au hamtaki mahela?Mnataka kuung'ata mkono utakaoleta "lishe" msiwe Ombaomba FC?😂😂😂😂Na kwa bahati mzuri, HAKUNA TWIGA MWEKUNDU nchini Tanzania, kwahiyo ujinga wao watafute kwa kuupeleka!!
Sio kullilia mirangi... Tanzania HAKUNA Twiga Wekundu, kwahiyo hao NBC waache ukolo wao!! Twiga ni Nembo ya Taifa!! Kwanini waichafue nembo yetu? Huyo Twiga mwekundu awekwe tu kwenye jezi zaMakolo, lakini Yanga tunahitaji rangi ya twiga halisiMwenye hela ndiyo nembo yake.Acheni kulilia mirangirangi.Au hamtaki mahela?Mnataka kuung'ata mkono utakaoleta "lishe" msiwe Ombaomba FC?😂😂😂😂
Mnatabu sana Utopwenge!Ngoja tuone kama mtakataa kuubugia "mkate" wa mhisani.😝😝😝😝😝Sio kullilia mirangi... Tanzania HAKUNA Twiga Wekundu, kwahiyo hao NBC waache ukolo wao!! Twiga ni Nembo ya Taifa!! Kwanini waichafue nembo yetu? Huyo Twiga mwekundu awekwe tu kwenye jezi zaMakolo, lakini Yanga tunahitaji rangi ya twiga halisi
View attachment 1964435
SEMA NO KWA UHUNI WOWOTE UNAOWEZA KUFANYIKA DHIDI YA NEMBO YETU
huwezi pangia mtu logo yake iweje...kwani mbona logo lenu limejaa hadi mabondia na wacheza netballNa kwa bahati mzuri, HAKUNA TWIGA MWEKUNDU nchini Tanzania, kwahiyo ujinga wao watafute kwa kuupeleka!!
Utopwinyo mafundi wa kurekebisha logo za watu subiri uone ya kwao sasa uchafu mtupu hadi francis cheka yuko kwenye nembo na wacheza netballSio kullilia mirangi... Tanzania HAKUNA Twiga Wekundu, kwahiyo hao NBC waache ukolo wao!! Twiga ni Nembo ya Taifa!! Kwanini waichafue nembo yetu? Huyo Twiga mwekundu awekwe tu kwenye jezi zaMakolo, lakini Yanga tunahitaji rangi ya twiga halisi
View attachment 1964435
SEMA NO KWA UHUNI WOWOTE UNAOWEZA KUFANYIKA DHIDI YA NEMBO YETU
Waongezee na maneno..."WAZEE KUKUMBUKA"...!huwezi pangia mtu logo yake iweje...kwani mbona logo lenu limejaa hadi mabondia na wacheza netball
Hivi kweli unaongea ukiwa timamu? Kweli?? Mtu unafikia kujitoa ufahamu hivyo?Sio kullilia mirangi... Tanzania HAKUNA Twiga Wekundu, kwahiyo hao NBC waache ukolo wao!! Twiga ni Nembo ya Taifa!! Kwanini waichafue nembo yetu? Huyo Twiga mwekundu awekwe tu kwenye jezi zaMakolo, lakini Yanga tunahitaji rangi ya twiga halisi
View attachment 1964435
SEMA NO KWA UHUNI WOWOTE UNAOWEZA KUFANYIKA DHIDI YA NEMBO YETU
hiyo hali ya timu we unaonaje ?ndo inayokufanya hulaliUnaiona hali ya timu yako lakini au uko bize kupiga umbea
Aliyeweka mabondia kwenye logo ya utopwinyo ana akili sana mara vurugu na ma sponsors wa league, mara kutoa hela zinazopita kwa "walezi" ili wachezaji wa simba wafanyiwe vurugu uwanjani yaani tafrani tuHao NBC ndo watafata maelekezo ya Yanga...
Na akili kama hizi ndio zimelifikisha soka hapa, eti watafute pa kuupeleka , wewe kwenye timu unamchango gani, zaidi ya kupiga kelele tu?!!mambo ya kishamba sana hayo!!Na kwa bahati mzuri, HAKUNA TWIGA MWEKUNDU nchini Tanzania, kwahiyo ujinga wao watafute kwa kuupeleka!!