Mnyuke Jr
JF-Expert Member
- Jul 3, 2021
- 4,472
- 6,391
Hicho kikao kimefanyika jana jioni Yanga wakiwasilishwa na Dkt mshindo msolla, Dominic Albinus pamoja na Interim CEO Senzo Mbatha, viongozi wa bodi ya ligi na TFF pamoja na upande wa wadhamini wenyewe NBC
Twiga atakuwa mweusi na mlima Kilimanjaro utakuwa wa kijani
Mjadala huo umefungwa
Twiga atakuwa mweusi na mlima Kilimanjaro utakuwa wa kijani
Mjadala huo umefungwa