Yanga lazima wagombane na NBC wadhamini wa ligi

Yanga lazima wagombane na NBC wadhamini wa ligi

Hicho kikao kimefanyika jana jioni Yanga wakiwasilishwa na Dkt mshindo msolla, Dominic Albinus pamoja na Interim CEO Senzo Mbatha, viongozi wa bodi ya ligi na TFF pamoja na upande wa wadhamini wenyewe NBC

Twiga atakuwa mweusi na mlima Kilimanjaro utakuwa wa kijani

Mjadala huo umefungwa
 
Kesho inatarajiwa benki ya NBC kutangazwa kama wadhamini rasmi wa ligi kuu ila tuambiane tu ukweli UTOPWINYO KESHO KINANUKA watakataa hiyo logo watasema Twiga mwekundu hawataki awe wa njano au kijani, ni majitu fulani yasiyoheshimu watu hata nembo za wenzao hawaheshimu nakumbuka last year wakiweka tangazo la graphics simba vs yanga basi logo ya simba wanatoa wekundu wanaweka kijani ,

Walishagombana hata na vodacom hawataki wadhamini watumie ile rangi nyekundu ya logo yao.... Imbeciles, dunderheads.

View attachment 1964390
Vipi kwani umebanwa na haja kubwa
 
MODS:heading yangu ilikuwa

UTOPOLO lazima wagombane na NBC wadhamini wa ligi nyinyi mmebadilisha kwa nini sasa?? hawa ni UTOPOLO TU UTOPWINYO UTOPWENGA​

 
Mtani hilo limeisha tangu kwenye kikao cha jana jioni, Yule Twiga atakuwa wa rangi Nyeusi na mlima Kilimanjaro utakuwa na rangi ya Kijani

Hatuwezi kuvunja misingi ya klabu iliyowekwa na waasisi wake na hilo litasimamiwa kwa vizazi na vizazi

Sijasikia hilo likitolewa ufafanuzi kwenye press conference ya leo.Acha tusubiri mtani tuone hizo jezi mtakazovaa zitakuwa na muonekano upi.By the way mbona not ya Shs 10,000 huwa mnaitumia? Au ile nyekundu ya noti ni nzuri
 
Kesho inatarajiwa benki ya NBC kutangazwa kama wadhamini rasmi wa ligi kuu ila tuambiane tu ukweli UTOPWINYO KESHO KINANUKA watakataa hiyo logo watasema Twiga mwekundu hawataki awe wa njano au kijani, ni majitu fulani yasiyoheshimu watu hata nembo za wenzao hawaheshimu nakumbuka last year wakiweka tangazo la graphics simba vs yanga basi logo ya simba wanatoa wekundu wanaweka kijani ,

Walishagombana hata na vodacom hawataki wadhamini watumie ile rangi nyekundu ya logo yao.... Imbeciles, dunderheads.

View attachment 1964390
Kwa taarifa yako,yanga hawana mpango wa kugombana na rangi ya twiga

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Sijasikia hilo likitolewa ufafanuzi kwenye press conference ya leo.Acha tusubiri mtani tuone hizo jezi mtakazovaa zitakuwa na muonekano upi.By the way mbona not ya Shs 10,000 huwa mnaitumia? Au ile nyekundu ya noti ni nzuri
Kwani Ile noti ya elfu kumi inakaa kwenye jezi mkuu Nyamizi
 
IMG_16335225459734304.jpg
 
Back
Top Bottom