Yanga lazima wagombane na NBC wadhamini wa ligi

Yanga lazima wagombane na NBC wadhamini wa ligi

Sio kullilia mirangi... Tanzania HAKUNA Twiga Wekundu, kwahiyo hao NBC waache ukolo wao!! Twiga ni Nembo ya Taifa!! Kwanini waichafue nembo yetu? Huyo Twiga mwekundu awekwe tu kwenye jezi zaMakolo, lakini Yanga tunahitaji rangi ya twiga halisi
View attachment 1964435

SEMA NO KWA UHUNI WOWOTE UNAOWEZA KUFANYIKA DHIDI YA NEMBO YETU
Hili nakuunga mkono asee. Waiboreshe nembo yao tu, sio kwa simba. Utawekaje twiga mwekundu.
 
Kesho inatarajiwa benki ya NBC kutangazwa kama wadhamini rasmi wa ligi kuu ila tuambiane tu ukweli UTOPWINYO KESHO KINANUKA watakataa hiyo logo watasema Twiga mwekundu hawataki awe wa njano au kijani, ni majitu fulani yasiyoheshimu watu hata nembo za wenzao hawaheshimu nakumbuka last year wakiweka tangazo la graphics simba vs yanga basi logo ya simba wanatoa wekundu wanaweka kijani ,

Walishagombana hata na vodacom hawataki wadhamini watumie ile rangi nyekundu ya logo yao.... Imbeciles, dunderheads.

View attachment 1964390
mimi naiona hiyo rangi ni ya brown (burnt sienna) ambayo ndo rangi ya twiga hivyo hawana haja ya kuikataa
 
Kesho inatarajiwa benki ya NBC kutangazwa kama wadhamini rasmi wa ligi kuu ila tuambiane tu ukweli UTOPWINYO KESHO KINANUKA watakataa hiyo logo watasema Twiga mwekundu hawataki awe wa njano au kijani, ni majitu fulani yasiyoheshimu watu hata nembo za wenzao hawaheshimu nakumbuka last year wakiweka tangazo la graphics simba vs yanga basi logo ya simba wanatoa wekundu wanaweka kijani ,

Walishagombana hata na vodacom hawataki wadhamini watumie ile rangi nyekundu ya logo yao.... Imbeciles, dunderheads.

View attachment 1964390
Hakuna hiyo ilikuwa zamani kwa sasa hayo hayapo

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Dunia nzima hakuna Twiga mwekundu na sisi kama Dar es Salaam Young Africans tunataka rangi halisi ya Twiga ndio ikae kwenye nembo na hili lipo wazi kabisa

Hapo hakuna mjadala
 
Na akili kama hizi ndio zimelifikisha soka hapa, eti watafute pa kuupeleka , wewe kwenye timu unamchango gani, zaidi ya kupiga kelele tu?!!mambo ya kishamba sana hayo!!
Huu mchezo hautaki hasira, rangi ya Twiga Inajulikana na watatueleza huyo Twiga mwekundu walimtoa wapi?
 
Mdhamini tu wa Yanga gsm alibadilisha rañgi na akatii gsm ni kijana while ualisia wake ilikuwa ni nyekundu


BMTL wapo kulinda katiba za vilabu ambazo zimepitishwa
 
Hivi kweli unaongea ukiwa timamu? Kweli?? Mtu unafikia kujitoa ufahamu hivyo?
Ndio walivyo mkuu kama msukule alivyosema 👇👇👇

6F16B05C-9DE5-40BB-9268-2E4E79F91D17.jpeg
 
Imbeciles, dunderheads hao,tuwasamehe tu,hawajielewi

Hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Rangi Halisi Ya Twiga Inajulikana Hatutaki Mjadala.
 
Dunia nzima hakuna Twiga mwekundu na sisi kama Dar es Salaam Young Africans tunataka rangi halisi ya Twiga ndio ikae kwenye nembo na hili lipo wazi kabisa

Hapo hakuna mjadala

Mtavaa Twiga mwekundu kama hamtaki kwendeni mkaanzishe Ligi yenu mtani,Team yenyewe inategemea kucheza ligi hii hii ili isurvive halafu mnaleta ujinga.NBC wamegoma kubadili nembo tuone mtafanyaje[emoji3][emoji3]
 
Mtavaa Twiga mwekundu kama hamtaki kwendeni mkaanzishe Ligi yenu mtani,Team yenyewe inategemea kucheza ligi hii hii ili isurvive halafu mnaleta ujinga.NBC wamegoma kubadili nembo tuone mtafanyaje[emoji3][emoji3]
Mtani hilo limeisha tangu kwenye kikao cha jana jioni, Yule Twiga atakuwa wa rangi Nyeusi na mlima Kilimanjaro utakuwa na rangi ya Kijani

Hatuwezi kuvunja misingi ya klabu iliyowekwa na waasisi wake na hilo litasimamiwa kwa vizazi na vizazi
 
Back
Top Bottom