Vipi kwani umebanwa na haja kubwaKesho inatarajiwa benki ya NBC kutangazwa kama wadhamini rasmi wa ligi kuu ila tuambiane tu ukweli UTOPWINYO KESHO KINANUKA watakataa hiyo logo watasema Twiga mwekundu hawataki awe wa njano au kijani, ni majitu fulani yasiyoheshimu watu hata nembo za wenzao hawaheshimu nakumbuka last year wakiweka tangazo la graphics simba vs yanga basi logo ya simba wanatoa wekundu wanaweka kijani ,
Walishagombana hata na vodacom hawataki wadhamini watumie ile rangi nyekundu ya logo yao.... Imbeciles, dunderheads.
View attachment 1964390
Mtani hilo limeisha tangu kwenye kikao cha jana jioni, Yule Twiga atakuwa wa rangi Nyeusi na mlima Kilimanjaro utakuwa na rangi ya Kijani
Hatuwezi kuvunja misingi ya klabu iliyowekwa na waasisi wake na hilo litasimamiwa kwa vizazi na vizazi
Kwa taarifa yako,yanga hawana mpango wa kugombana na rangi ya twigaKesho inatarajiwa benki ya NBC kutangazwa kama wadhamini rasmi wa ligi kuu ila tuambiane tu ukweli UTOPWINYO KESHO KINANUKA watakataa hiyo logo watasema Twiga mwekundu hawataki awe wa njano au kijani, ni majitu fulani yasiyoheshimu watu hata nembo za wenzao hawaheshimu nakumbuka last year wakiweka tangazo la graphics simba vs yanga basi logo ya simba wanatoa wekundu wanaweka kijani ,
Walishagombana hata na vodacom hawataki wadhamini watumie ile rangi nyekundu ya logo yao.... Imbeciles, dunderheads.
View attachment 1964390
Kwani Ile noti ya elfu kumi inakaa kwenye jezi mkuu NyamiziSijasikia hilo likitolewa ufafanuzi kwenye press conference ya leo.Acha tusubiri mtani tuone hizo jezi mtakazovaa zitakuwa na muonekano upi.By the way mbona not ya Shs 10,000 huwa mnaitumia? Au ile nyekundu ya noti ni nzuri
hiyo hali ya timu we unaonaje ?ndo inayokufanya hulali