ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Nyie tuliwaahidi Zanzibar kuwa tutakutana tena kwenye ligiUtopolo fc vijora sports club[emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
[emoji16] [emoji16] [emoji16]Utopolo fc vijora sports club[emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
[emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]karibuniNyie tuliwaahidi Zanzibar kua tutakutana tena kwenye ligi
[emoji31][emoji31][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]Nimeona chumba cha million 6. Ila wamesahau net. Fanya mpango upeleke net maana kwa madibwi yale.[emoji3082][emoji3082][emoji3082][emoji3082] kama wote
πππππππππππJibu kwanza hili swali, Kati ya Sarpong na Nchimbi nani Sarpong?
Msirushe mawe tu maana sasa hivi mumekuwa kama mbwa koko mnajibwekea ovyo tuKosa ni kuongoza ligi au ni nini?mechi zetu zimekuwa zikifuatiliwa kwa ukaribu na kila mdau wa soka na wengi wao wanapenda klabu itetereke,kila timu ikicheza na Yanga wanacheza kufa kupona tofauti na hata timu hizi zikicheza na simba!...waamuzi nao wanakua wanajitahidi Yanga isishinde kwa kila namna.
Kinachonipa tumaini ni kua klabu yetu bado ndio klabu bora hapa tz tusiotishika na yeyote na tukiwa klabu pekee yenye uhakika wa kumfunga simba anayejisifia kumfunga al aharyl.
Wananchi wenzangu tutembee kifua mbele tuko vizuri tujipe muda kidogo benchi lifanye majukumu yake tukumbuke bado timu haijapoteza mchezo hadi leo
Mkuu acha yule mngoni mwanzangu anatia aibuJibu kwanza hili swali, Kati ya Sarpong na Nchimbi nani Sarpong?
π€£ π€£ π€£ akikujibu nitagJibu kwanza hili swali, Kati ya Sarpong na Nchimbi nani Sarpong?