Yanga mechi ya marudiano hangaikeni na nafasi za wazi walizopoteza Rivers.

Yanga mechi ya marudiano hangaikeni na nafasi za wazi walizopoteza Rivers.

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Bahati nzuri na bahati mbaya zipo kwa uiwiano na kiwango sawa kutokea. Kama Yanga walikuwa na bahati kuzitumia nafasi zao 2 kupata mabao, hivyohivyo Rivers wanaweza kubahatika kugeuza nafasi walizopoteza kwao kugeukia magoli kwetu.

Tusijidanganye na kupofushwa na tugoli tuwili tuliyowwfunga Rivers kwao bali wataalamu wa Yanga watafute majibu ya namna ya kuzuia bahati nzuri kwa rivers. Tuangalie idadi ya clear chances walizopoteza Rivers United nyumbani kwao ambazo kama bahati itakuwa Yao zinaweza kugeuka magoli kwa Mkapa.
 
Rivers HAWAKUWA na mshambuliaji wao Tegemeo.

Japo walikuwa wenyeji wa Mchezo, ila hawakutumia uwanja wao wa nyumbani.

Yanga wasijisahau sana...
Yanaweza yakatokea ya jwaneng galaxy.
Wamlete sasa uyo mshambuliaji wao tegemeo
 
Nafasi za wazi zipi wakati dk 90 Rivers hawakupiga shot on target hata moja
kaka mahaba hayachezi mpira. Kuna wakati ulifika kabisa kwenye miguu ya Diara na papatupapatu nyingi karibu na lango la yanga. Kama wangekuwa makini wangetufunga hata magoli 3 kama mabeki wetu wasingekuwa macho. Penda mpira wenyewe kwanza kabla ya kuipenda Yanga. HAWA jamaa hawana cha kupoteza wanaweza kufunga magoli mengi au kufungwa magoli mengi kwa Watahamia kwenye goli la Yanga muda wote na mara zote. Hii inaweza kusababisha kupata faulu nyingi zikiwemo penati.
 
Bahati nzuri na bahati mbaya zipo kwa uiwiano na kiwango sawa kutokea. Kama Yanga walikuwa na bahati kuzitumia nafasi zao 2 kupata mabao, hivyohivyo Rivers wanaweza kubahatika kugeuza nafasi walizopoteza kwao kugeukia magoli kwetu.

Tusijidanganye na kupofushwa na tugoli tuwili tuliyowwfunga Rivers kwao bali wataalamu wa Yanga watafute majibu ya namna ya kuzuia bahati nzuri kwa rivers. Tuangalie idadi ya clear chances walizopoteza Rivers United nyumbani kwao ambazo kama bahati itakuwa Yao zinaweza kugeuka magoli kwa Mkapa.
kama kila nafasi ya wazi inatakiwe iwe counted as a goal basi yanga alikuwa atoke na goli 4-5 ile mechi
 
Nafasi za wazi zipi wakati dk 90 Rivers hawakupiga shot on target hata moja


Walipata nafasi za wazi nne.
Walitengeneza nafasi nne za kufunga.
Kash Kash zilikuwa nne.
MIPIRA kutambalizwa kwenye sita mi tatu....

Jamaa walishindwa kulenga lango tu ila Kila kitu walifanya.
Hadi possesion ilikuwa Yao.

Yanga wapunguze kuishadadia wydad .
Simba tuliwahi ongoza kwa Jwaneng 2-0 Galaxy wakaja Mkapa wakasawazisha.
YANGA MSIJISAHAU MPIRA UNADUNDA
 
Walipata nafasi za wazi nne.
Walitengeneza nafasi nne za kufunga.
Kash Kash zilikuwa nne.
MIPIRA kutambalizwa kwenye sita mi tatu....

Jamaa walishindwa kulenga lango tu ila Kila kitu walifanya.
Hadi possesion ilikuwa Yao.

Yanga wapunguze kuishadadia wydad .
Simba tuliwahi ongoza kwa Jwaneng 2-0 Galaxy wakaja Mkapa wakasawazisha.
YANGA MSIJISAHAU MPIRA UNADUNDA
YANGA MSIJISAHAU MPIRA UNADUNDA [emoji109]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
kama kila nafasi ya wazi inatakiwe iwe counted as a goal basi yanga alikuwa atoke na goli 4-5 ile mechi
Hata rivers pia wanalifahamu hilo na bila shaka wamezifanyia kazi nafasi za wazi ambazo Yanga waliwakosakisa.
 
Bahati nzuri na bahati mbaya zipo kwa uiwiano na kiwango sawa kutokea. Kama Yanga walikuwa na bahati kuzitumia nafasi zao 2 kupata mabao, hivyohivyo Rivers wanaweza kubahatika kugeuza nafasi walizopoteza kwao kugeukia magoli kwetu.

Tusijidanganye na kupofushwa na tugoli tuwili tuliyowwfunga Rivers kwao bali wataalamu wa Yanga watafute majibu ya namna ya kuzuia bahati nzuri kwa rivers. Tuangalie idadi ya clear chances walizopoteza Rivers United nyumbani kwao ambazo kama bahati itakuwa Yao zinaweza kugeuka magoli kwa Mkapa.
Ungeishauri timu yako jana ingeweza kusonga mbele.
 
kaka mahaba hayachezi mpira. Kuna wakati ulifika kabisa kwenye miguu ya Diara na papatupapatu nyingi karibu na lango la yanga. Kama wangekuwa makini wangetufunga hata magoli 3 kama mabeki wetu wasingekuwa macho. Penda mpira wenyewe kwanza kabla ya kuipenda Yanga. HAWA jamaa hawana cha kupoteza wanaweza kufunga magoli mengi au kufungwa magoli mengi kwa Watahamia kwenye goli la Yanga muda wote na mara zote. Hii inaweza kusababisha kupata faulu nyingi zikiwemo penati.
Yaan tupo home halafu waamie golin kwetu? Kuwa seriaz bas sisi tucheze kama kawaida yetu then utaona hesabu
 
Back
Top Bottom