Yanga mjiandae kisaikolojia na kadi nyekundu kesho toka kwa refa

Yanga mjiandae kisaikolojia na kadi nyekundu kesho toka kwa refa

IMG_3729.jpg

Utopolo wote chalii
 
Ishu ya Onyango uliona ni nani aliyeamza kusukuma mwenzake lakini mkuu

Pale Yacouba ndio alianza kumsukuma karibu mara mbili Miquissone, Onyango ndio akakasirika akaenda kumsukuma Yacouba, na referee ameviona vitendo vyote ndio maana akaamua kukaushia tu
Karudie kuangalia hilo tukio acha kuongea kishabiki. Yaani kutetea kitendo cha Onyango na mwamuzi alivyojikausha inaonesha ushabiki uliopitiliza.
 
tulipomkataa refa sio kwamba tulikuwa wajinga
Tulijua kitakachotokea huko,huyu mpuuzi kaua vibe ya mechi kiboya
Hata kama mnahonga lakini sio wazi hivi..
Jumlisha na vitendo vya kihuni vya kina onyango, wawa na bocco tena huyu bocco kaanza kumchezea rafu mkoko since mechi ile iliyopita.mukoko nae ni binadamu na uvumilivu unamshinda

Refa alitakiwa kutumia fair play ukizingatia ilibaki dakika kama 2 kipindi kiishe na ile ni Final huwezi kugawa kadi kienyeji namna ile
Kaangalie Fainal ya Al Ahly vs Kaizer Chiefs

Fainali haikupi advantage ya kufanya vitendo viovu uwanjani

Mukoko amekosea na alistahili Redcard hyo haina mjadala.
 
Ww sio riziki
Njovile mkuu hiyo ndio yanga tunayo ijua sisi kwenye upande wakusaka ubigwa ni hamna kitu ila kwenye kipindi cha usajili na kushobokea migogoro ya simba ni wazuri sana hapa wanavuna walicho panda
 
To be honest mikia wote mnajua ile kadi ndio salama yenu,mukoko nae ni binadamu kama mlifuatilia toka ile match ya awali unaona kabisa boco anamchezea mukoko kwa maelekezo amuumize,game ya july 3 boco,wawa na lwanga ni maajabu tu ya waamuzi wa tff wale jamaa kumaliza ile match bila card,na hata leo game plan ya mikia ilikua kuwaumiza yacouba na mukoko,kama utaangalia vizuri boco kampiga kifuti cha maksudi mukoko,ndicho kilichafanya mukoko kupanic hadi kureact vile,tukutane kagame tukuta kwenye ngao
 
To be honest mikia wote mnajua ile kadi ndio salama yenu,mukoko nae ni binadamu kama mlifuatilia toka ile match ya awali unaona kabisa boco anamchezea mukoko kwa maelekezo amuumize,game ya july 3 boco,wawa na lwanga ni maajabu tu ya waamuzi wa tff wale jamaa kumaliza ile match bila card,na hata leo game plan ya mikia ilikua kuwaumiza yacouba na mukoko,kama utaangalia vizuri boco kampiga kifuti cha maksudi mukoko,ndicho kilichafanya mukoko kupanic hadi kureact vile,tukutane kagame tukuta kwenye ngao
Unajitekenya tu. Mukoko katolewa kwenye dakika ya 40 huko. Mlishindwa nini kufunga kabla hajatoka?! Na usisahau Simba iloshawahi kucheza pungufu na ikawadunda! Na Simba ilishawahi kupata red mechi za uto mfululizo lakini haikupoteza. Kwanza michezaji yenu leo iliingia kufanya vurugu tu, badala ya kucheza mpira. Kwahiyo acha kulialia. Tulia dawa ikuingie vizuri.
 
Najua hamuamini hili refa anaingia uwanjan na redkadi yenu kapewa maagizo wapi sijui


Ushauri

1) Wachezaji mjitahidi sana kushinda magoli mengi kipindi cha kwanza


2) Wachezaji mjitume dakika zote tisini mkijua hamchezi na wenzenu 11

3) Kama kuna mechi kucheza kwa nidhamu zote n kesho mnapambana si na.Simba tu..


4) Msiwe na hofu na uwoga hata atakapotolewa mmoja wa wachezaji wenu hii ktk kuwaondoa mchezoni


5) Mwisho mtangulizen Mungu ndie muweza yote
Nanunua yanga mbovu na mzee mpili
Nanunua yanga mbovu na mzee mpili
Nanunua yanga mbovu na mzee mpili
IMG-20210726-WA0058.jpg
 
Njovile mkuu hiyo ndio yanga tunayo ijua sisi kwenye upande wakusaka ubigwa ni hamna kitu ila kwenye kipindi cha usajili na kushobokea migogoro ya simba ni wazuri sana hapa wanavuna walicho panda
Maneno ya alieshiba, anasahau kama baadae atakuwa na njaa
 
Back
Top Bottom