farharu
JF-Expert Member
- May 29, 2016
- 527
- 583
Maelekezo FC na makandokando fc
Sio riziki ww
Goli katiwa shikalo wivu unakujaa wewe..mwenzetu hatukuelewi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maelekezo FC na makandokando fc
Sio riziki ww
Poleni kwa kufumuliwa piaSababu gani unazozielezea wakati game ya mwisho tumewafumua vizuri tu
Hahahaaaa mzee umenichekesha sana.Yaani dawa ya ile mizee ni kukimbizwa tu.
Karudie kuangalia hilo tukio acha kuongea kishabiki. Yaani kutetea kitendo cha Onyango na mwamuzi alivyojikausha inaonesha ushabiki uliopitiliza.Ishu ya Onyango uliona ni nani aliyeamza kusukuma mwenzake lakini mkuu
Pale Yacouba ndio alianza kumsukuma karibu mara mbili Miquissone, Onyango ndio akakasirika akaenda kumsukuma Yacouba, na referee ameviona vitendo vyote ndio maana akaamua kukaushia tu
Kaangalie Fainal ya Al Ahly vs Kaizer Chiefstulipomkataa refa sio kwamba tulikuwa wajinga
Tulijua kitakachotokea huko,huyu mpuuzi kaua vibe ya mechi kiboya
Hata kama mnahonga lakini sio wazi hivi..
Jumlisha na vitendo vya kihuni vya kina onyango, wawa na bocco tena huyu bocco kaanza kumchezea rafu mkoko since mechi ile iliyopita.mukoko nae ni binadamu na uvumilivu unamshinda
Refa alitakiwa kutumia fair play ukizingatia ilibaki dakika kama 2 kipindi kiishe na ile ni Final huwezi kugawa kadi kienyeji namna ile
Jikaze haiumizi ndio dose ya footbally utazoe tuWw katafute mashoga wenzio huko
Ww sio rizikiJikaze haiumizi ndio dose ya footbally utazoe tu
Njovile mkuu hiyo ndio yanga tunayo ijua sisi kwenye upande wakusaka ubigwa ni hamna kitu ila kwenye kipindi cha usajili na kushobokea migogoro ya simba ni wazuri sana hapa wanavuna walicho pandaWw sio riziki
Unajitekenya tu. Mukoko katolewa kwenye dakika ya 40 huko. Mlishindwa nini kufunga kabla hajatoka?! Na usisahau Simba iloshawahi kucheza pungufu na ikawadunda! Na Simba ilishawahi kupata red mechi za uto mfululizo lakini haikupoteza. Kwanza michezaji yenu leo iliingia kufanya vurugu tu, badala ya kucheza mpira. Kwahiyo acha kulialia. Tulia dawa ikuingie vizuri.To be honest mikia wote mnajua ile kadi ndio salama yenu,mukoko nae ni binadamu kama mlifuatilia toka ile match ya awali unaona kabisa boco anamchezea mukoko kwa maelekezo amuumize,game ya july 3 boco,wawa na lwanga ni maajabu tu ya waamuzi wa tff wale jamaa kumaliza ile match bila card,na hata leo game plan ya mikia ilikua kuwaumiza yacouba na mukoko,kama utaangalia vizuri boco kampiga kifuti cha maksudi mukoko,ndicho kilichafanya mukoko kupanic hadi kureact vile,tukutane kagame tukuta kwenye ngao
Nanunua yanga mbovu na mzee mpiliNajua hamuamini hili refa anaingia uwanjan na redkadi yenu kapewa maagizo wapi sijui
Ushauri
1) Wachezaji mjitahidi sana kushinda magoli mengi kipindi cha kwanza
2) Wachezaji mjitume dakika zote tisini mkijua hamchezi na wenzenu 11
3) Kama kuna mechi kucheza kwa nidhamu zote n kesho mnapambana si na.Simba tu..
4) Msiwe na hofu na uwoga hata atakapotolewa mmoja wa wachezaji wenu hii ktk kuwaondoa mchezoni
5) Mwisho mtangulizen Mungu ndie muweza yote
Acha uben ten basiAngalia ulivyo fara aisee
Maneno ya alieshiba, anasahau kama baadae atakuwa na njaaNjovile mkuu hiyo ndio yanga tunayo ijua sisi kwenye upande wakusaka ubigwa ni hamna kitu ila kwenye kipindi cha usajili na kushobokea migogoro ya simba ni wazuri sana hapa wanavuna walicho panda
Mbeleko fc mmebebwa penalt mbiliMaelekezo FC na makandokando fc
Sawa captain wa Mapunga fc, wasio rizikiMbeleko fc mmebebwa penalt mbili
Kweli si kwa kuacha zile penalt mbili na redcard mbiliUlisema kweli maana refa na simba na Tff lao moja nini ,sasa yametokea kweli
We inaonekana upo kwenye joto njoo nikumwagie kama jana shikalo alivyopigwa goli na tadeo lwangaSawa captain wa Mapunga fc, wasio riziki