Yanga mlidhani tarehe 2 mbali?

Yanga mlidhani tarehe 2 mbali?

Ile kupigwa Kama ngoma ndo kesho.

Yanga niliwambia msim huu mtapanda ndege Mara mbili tu baada ya Apo Ni mwendo wa Bus Yutong ,bajaji,boda ,bolt

Mngepanda ndege walau Mara tatu lakin wale wasudani wakaharbu mipango wakacheza hapa kwetu home and away

Morrison naskia anatuma msg kila sku kwa mataita wa Simba anasema mateso anayopata Yanga Ni mazito.

Afu naskia hzi mechi Manara hua anabeti afu anawaua Yanga
msongo wa mawazo utakuumiza sana
 
Wanadhani kutofuzu Club bingwa kulisababishwa na kauli mbiu

Now Ally Kamwe namuona mnyonge sana anaogopa kutoka kifua mbele kwa maneno ya kishujaa yqsije kumkuta ya Al hilal
Wamefyata mkia kama mbwa jike anyeogopa kugongwa
 
Kiboko ya Makolo Wizard

Hebu nisaidieni kuandika full name yake [emoji23]
44b95da6f233443298e50c1fd4191796.jpg
 
Usiku wa deni huwa haukawii kukucha, kesho ndo kesho ile furaha yao waliyopewa na azam itaisha kesho
 
Mimi kwa jicho langu naona kesho Yanga wanawafunga Tunisia labda Yanga wakafungwe huko kwao marudio. Shida ni kwamba watafunga moja tuu.
Labda ashinde njaa .
Wakijitahd Ni droo
Yanga iliyocheza na Geita juzi ndo washinde kweli?
 
Ile kupigwa Kama ngoma ndo kesho.

Yanga niliwambia msim huu mtapanda ndege Mara mbili tu baada ya Apo Ni mwendo wa Bus Yutong ,bajaji,boda ,bolt

Mngepanda ndege walau Mara tatu lakin wale wasudani wakaharbu mipango wakacheza hapa kwetu home and away

Morrison naskia anatuma msg kila sku kwa mataita wa Simba anasema mateso anayopata Yanga Ni mazito.

Afu naskia hzi mechi Manara hua anabeti afu anawaua Yanga
Yanga niliwambia msim huu mtapanda ndege Mara mbili tu baada ya Apo Ni mwendo wa Bus Yutong ,bajaji,boda ,bolt[emoji23]
 
Hii picha imepigwa kesho saa 12 jioni
 

Attachments

  • Screenshot_20221101-111407.png
    Screenshot_20221101-111407.png
    103.6 KB · Views: 4
Ile kupigwa Kama ngoma ndo kesho.

Yanga niliwambia msim huu mtapanda ndege Mara mbili tu baada ya Apo Ni mwendo wa Bus Yutong , bajaji, boda, bolt.

Mngepanda ndege walau Mara tatu lakin wale wasudani wakaharbu mipango wakacheza hapa kwetu home and away.

Morrison naskia anatuma msg kila sku kwa mataita wa Simba anasema mateso anayopata Yanga ni mazito.

Afu naskia hizi mechi Manara huwa anabeti afu anawaua Yanga
Morrison naskia anatuma msg kila sku kwa mataita wa Simba anasema mateso anayopata Yanga ni mazito
 
Back
Top Bottom