Smart AJ
JF-Expert Member
- Mar 21, 2022
- 5,564
- 5,884
Kuanzia home ni mtego sana..
Imagine unatamani sana ufunge goli nyingi so basically approach itakuwa ni kuanza na wachezaji ambao ni attacking minded..
Morisson na jesus moloko,ni wazuri sana kwenye mashambulizi ila HAWAKABI HATA KIDOGO.
Vipi kama jamaa watakuwa wanatega mitego ya counter attack,na wanatumia mipira mirefu na upande pendwa ni ule ule wa djuma shaban.
Ukisema uwavute waje kwako na kisha upige mipira mirefu,jamaa watakuwa hawaji coz wao watakuwa wanafurahia kupoteza muda(ni maproo wa kupoteza muda)so utakuwa umeingia kwenye mtego wao mara nyingine.
YANGA ILI WASHINDE KESHO WACHEZE KAWAIDA TU,WASIJIDANGANYE KUNA GOLI NYINGI WATAAMBULIA KUTOA SARE TU.
Imagine unatamani sana ufunge goli nyingi so basically approach itakuwa ni kuanza na wachezaji ambao ni attacking minded..
Morisson na jesus moloko,ni wazuri sana kwenye mashambulizi ila HAWAKABI HATA KIDOGO.
Vipi kama jamaa watakuwa wanatega mitego ya counter attack,na wanatumia mipira mirefu na upande pendwa ni ule ule wa djuma shaban.
Ukisema uwavute waje kwako na kisha upige mipira mirefu,jamaa watakuwa hawaji coz wao watakuwa wanafurahia kupoteza muda(ni maproo wa kupoteza muda)so utakuwa umeingia kwenye mtego wao mara nyingine.
YANGA ILI WASHINDE KESHO WACHEZE KAWAIDA TU,WASIJIDANGANYE KUNA GOLI NYINGI WATAAMBULIA KUTOA SARE TU.