OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Ndio nimefika Dar jana. Asubuhi nikafika vijiweni vya soka na kagawa. Nataka kujua kina nani wamelipiwa. Kila mwana Yanga ukimuuliza kama amelipiwa anasema yakhee niombe radhi mimi siwezi kulipiwa.
Inaonekana kulipiwa kuna shida, kwa nini waliokwisha lipiwa wajifiche. Au kuna masharti mmepewa ili mlipiwe?
Humu JF kuna wana Yanga kibao. Nataka kuwatambua vijana ambao mshalipiwaaaaawa 😀😀😀😀
Ili siku nyingine kama kuna mtu anataka kuwalipia tuwape connection
Inaonekana kulipiwa kuna shida, kwa nini waliokwisha lipiwa wajifiche. Au kuna masharti mmepewa ili mlipiwe?
Humu JF kuna wana Yanga kibao. Nataka kuwatambua vijana ambao mshalipiwaaaaawa 😀😀😀😀
Ili siku nyingine kama kuna mtu anataka kuwalipia tuwape connection