Enzymes
JF-Expert Member
- Feb 14, 2013
- 4,332
- 3,013
Wana JF
Naamini wote tu wapenzi wa timu zetu za ndani linapokuja suala la Utaifa kwanza. U Yanga, U Simba, U Azam, U Mbea City, nk tupa kuleee!
Mm ni shabiki na mpenzi sana wa Young Africans Club ila hili lina nibore!
Hili Kombe la Kagame limeonesha maajabu sana ktk timu zetu hasa Yanga!
Niliangalia ile mechi ya Yanga Vs Telecom, baadae Yanga Vs KMKM, na leo Yanga Vs Khartoom National Sports Club, kweli Yanga ni majanga!
Beki ya Yanga na Midfielder wako njema hatare, utadhani sauti ya King Kiba ( Sorry Diamond followers). Wanalinda goli na Wanaokoa hatari kwa uhakika na kwa kujiamini sana (Self Confidence) na wanapeleka mipira mbele kila dk utadhani Umoja wa siafu!
Hapa sina Comment, only a Big, Big up!
Licha ya kuwa na Kocha Mzungu (raia wa kigeni mshahara mkubwa), kusajili mafowadi wengi tena wa Kigeni akina Hamis Tambwe, Coutinoh, Donald Ngoma, nk hadi 7 na kuacha vijana wetu Wazalendo wa ndani, hawa mafowadi ni butu balaa!!
Huyu Ngoma ni bora arudishwe kwao tu mapema. Badala ya kuscore yeye anaokoa mabao (anakuwa tena mpinzani wa timu yake).
Je ndio wamekuja kujifunza mpira Bongo?
Barcelona walikuwa na Ibrahimvic, huyu alipiga shuti 20 na kuscore 1. Barca wakamuuza PSG, misimu 3 iliyopita amekuwa moto sana ktk ligi yao.
Hawa akina Tambwe, Ngoma wanapiga shuti 20, score rate ni zero (0) wakiishia tu kujiangusha na kubutua tu nje! Ni hasara sana kwangu mshabiki (huwa sijiamini kama tutashinda, hata jezi huwa navaa kwa kuvizia) na timu kwa ujumla.
Mm pia napendekeza hawa mafowadi wauzwe upya tena.
TFF punguzeni idadi ya wachezaji wa kigeni hadi wa3 . Hawa wanaua Soka la ndani na wanakomba mishahara mikubwa, kumbe kureee kabisaa!!
Igeni mfano wa SPAIN ( sie tunaita ubaguzi ila wao wanajua), imesaidia sana kuwa na Strong National team. Ukienda pale unachezea kichapo kitakatifu!!
Pia tuache mazoea ya kusajili mchezaji kwa kuangalia Performance ya mechi 1 au 2! Mfano: Ngoma.
Je ligi ikianza si pata chimbika kwa Simba?
Naamini wote tu wapenzi wa timu zetu za ndani linapokuja suala la Utaifa kwanza. U Yanga, U Simba, U Azam, U Mbea City, nk tupa kuleee!
Mm ni shabiki na mpenzi sana wa Young Africans Club ila hili lina nibore!
Hili Kombe la Kagame limeonesha maajabu sana ktk timu zetu hasa Yanga!
Niliangalia ile mechi ya Yanga Vs Telecom, baadae Yanga Vs KMKM, na leo Yanga Vs Khartoom National Sports Club, kweli Yanga ni majanga!
Beki ya Yanga na Midfielder wako njema hatare, utadhani sauti ya King Kiba ( Sorry Diamond followers). Wanalinda goli na Wanaokoa hatari kwa uhakika na kwa kujiamini sana (Self Confidence) na wanapeleka mipira mbele kila dk utadhani Umoja wa siafu!
Hapa sina Comment, only a Big, Big up!
Licha ya kuwa na Kocha Mzungu (raia wa kigeni mshahara mkubwa), kusajili mafowadi wengi tena wa Kigeni akina Hamis Tambwe, Coutinoh, Donald Ngoma, nk hadi 7 na kuacha vijana wetu Wazalendo wa ndani, hawa mafowadi ni butu balaa!!
Huyu Ngoma ni bora arudishwe kwao tu mapema. Badala ya kuscore yeye anaokoa mabao (anakuwa tena mpinzani wa timu yake).
Je ndio wamekuja kujifunza mpira Bongo?
Barcelona walikuwa na Ibrahimvic, huyu alipiga shuti 20 na kuscore 1. Barca wakamuuza PSG, misimu 3 iliyopita amekuwa moto sana ktk ligi yao.
Hawa akina Tambwe, Ngoma wanapiga shuti 20, score rate ni zero (0) wakiishia tu kujiangusha na kubutua tu nje! Ni hasara sana kwangu mshabiki (huwa sijiamini kama tutashinda, hata jezi huwa navaa kwa kuvizia) na timu kwa ujumla.
Mm pia napendekeza hawa mafowadi wauzwe upya tena.
TFF punguzeni idadi ya wachezaji wa kigeni hadi wa3 . Hawa wanaua Soka la ndani na wanakomba mishahara mikubwa, kumbe kureee kabisaa!!
Igeni mfano wa SPAIN ( sie tunaita ubaguzi ila wao wanajua), imesaidia sana kuwa na Strong National team. Ukienda pale unachezea kichapo kitakatifu!!
Pia tuache mazoea ya kusajili mchezaji kwa kuangalia Performance ya mechi 1 au 2! Mfano: Ngoma.
Je ligi ikianza si pata chimbika kwa Simba?