CARIFONIA
JF-Expert Member
- Aug 17, 2013
- 616
- 1,453
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, Timu ya soka ya Yanga mnabidi kujifunza toka kwa waarabu, mmezidi kua wanyonge Sana, katika soka la Africa fitina za nje ya uwanja ni kubwa mno.
Waamuzi wananunuliwa na uwanjani wanakua washajua timu gani ishinde, msimu uliopita kama sio kua mwamuzi kuwabeba Mamelod Yanga mlikua mnacheza nusu fainali jambo la ajabu sana mkamuacha yule mwamuzi ata bila kumchapa makofi mawili au ngumi za tumbo ili next time akichukua ela na kuja na matokeo yake ajue kabisa kuna kupigwa.
Juzi si tumeona waarabu ambavyo hawataki ujinga walivyomchapa yule refa baada ya kuona amewapa faida makolo kwa kutokumaliza mpira wakati dakika za nyongeza zilishakwisha
Hakuna unyonge hata kama wanachukua point tatu wasutuchulie poa kabisa.
Sasa makolo hakuna anayewahamini tena hasa kwenye hili kombe la wajinga, mahana wana record zao, kuna msimu waliwai kuroga hadharani kwa kuwasha moto uwanjani Leo tena wanagoa viti, hatari sana hawa makolo.
Waamuzi wananunuliwa na uwanjani wanakua washajua timu gani ishinde, msimu uliopita kama sio kua mwamuzi kuwabeba Mamelod Yanga mlikua mnacheza nusu fainali jambo la ajabu sana mkamuacha yule mwamuzi ata bila kumchapa makofi mawili au ngumi za tumbo ili next time akichukua ela na kuja na matokeo yake ajue kabisa kuna kupigwa.
Juzi si tumeona waarabu ambavyo hawataki ujinga walivyomchapa yule refa baada ya kuona amewapa faida makolo kwa kutokumaliza mpira wakati dakika za nyongeza zilishakwisha
Hakuna unyonge hata kama wanachukua point tatu wasutuchulie poa kabisa.
Sasa makolo hakuna anayewahamini tena hasa kwenye hili kombe la wajinga, mahana wana record zao, kuna msimu waliwai kuroga hadharani kwa kuwasha moto uwanjani Leo tena wanagoa viti, hatari sana hawa makolo.