Yanga mnaolia sana malengo yenu ilikua makundi robo ni kama bonasi

Yanga mnaolia sana malengo yenu ilikua makundi robo ni kama bonasi

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
18,833
Reaction score
23,276
Inashangaza kuona yanga wanalilia goli ambalo sio goli ,mpaka refa anyoshe kati ndio linakua goli.
Pili kujitoa ufahamu wa kulilia nusu fainali ilihali mnajua viongozi wenu walishawatangazia malengo yenu ni kufika makundi hiyo robo ni kama bonasi hivyo mjue viongozi wakienda chooni hucheka peke yao kuwaona viumbe wa ajabu kulilia nusu fainali wakati timu iliyotayarishwa ni ya makundi.
Mwisho ni heri zote zimetoka tuweze kulala usingizi maana upuuzi ulikua mwingi kuanzia kwa mawaziri,maafisa habari na wachambuzi wao!
 
Si ajabu, sababu ni mtazamo wako unao uhuru wa kusema chochote... Hata kama ni upupu kama huu
 
Kabla ya kupangiwa Robo fainali kucheza na Mamelody.

Viongozi wa yanga na Mashabiki baadhi ya walikuwa wanaomba Kupangiwa mamelody.

Walikuwa wanataka kuonyesha jinsi timu yao ilivyo Bora.

Wamezidiwa kila kitu kwenye mchezo hadi akili ya kumzonga mwamuzi kwenda kujiridhisha goli kwenye VAR.
 
Kabla ya kupangiwa Robo fainali kucheza na Mamelody.

Viongozi wa yanga na Mashabiki baadhi ya walikuwa wanaomba Kupangiwa mamelody.

Walikuwa wanataka kuonyesha jinsi timu yao ilivyo Bora.

Wamezidiwa kila kitu kwenye mchezo hadi akili ya kumzonga mwamuzi kwenda kujiridhisha goli kwenye VAR.
Kila kukicha na bango lako la kutoshabikia Simba na yanga... Leo vipi Tena 😅 au akili zako zimebadilika.
 
Kila kukicha na bango lako la kutoshabikia Simba na yanga... Leo vipi Tena 😅 au akili zako zimebadilika.
Mimi sio shabiki wa yanga wala simba unanilazimisha kifupi mimi sio mkokoteni wa kusukumwa au kukokotwa ,baba alipenda yanga au simba unaogopa kusema ukweli.
 
Inashangaza kuona yanga wanalilia goli ambalo sio goli ,mpaka refa anyoshe kati ndio linakua goli.
Pili kujitoa ufahamu wa kulilia nusu fainali ilihali mnajua viongozi wenu walishawatangazia malengo yenu ni kufika makundi hiyo robo ni kama bonasi hivyo mjue viongozi wakienda chooni hucheka peke yao kuwaona viumbe wa ajabu kulilia nusu fainali wakati timu iliyotayarishwa ni ya makundi.
Mwisho ni heri zote zimetoka tuweze kulala usingizi maana upuuzi ulikua mwingi kuanzia kwa mawaziri,maafisa habari na wachambuzi wao!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mimi naona jumatatu mashabiki wa yanga waandamane kwenda kwa mama kama kawaida yao ili apate kulitazama na hili haiwezekani wananchi wanyonge wananyang'anywa haki yao kwa nguvu.
 
Kabla ya kupangiwa Robo fainali kucheza na Mamelody.

Viongozi wa yanga na Mashabiki baadhi ya walikuwa wanaomba Kupangiwa mamelody.

Walikuwa wanataka kuonyesha jinsi timu yao ilivyo Bora.

Wamezidiwa kila kitu kwenye mchezo hadi akili ya kumzonga mwamuzi kwenda kujiridhisha goli kwenye VAR.
Yanga hakuwa na 3 keys/potential players ulitaka Yanga SC ijuaje ubora wa Mamelody Sundowns?

*Hujui Pacome anavyopasuaga ngome yoyote ya mpinzani?

*Huonagi Aucho anavyokamataga dimba kuzuia pass penetration zozote?

*Yaoyao je kupandisha timu kimashambulizi na kuwahi kurudi nyuma kukaba?

*Man City hutafuta ushindi kwa tochi akikosekana De Bruyne tu, kwani haina kikosi kipana?

*Masambwanda SC ni wepesi sana Yanga kafichua udhaifu wao 05/04/2024.


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Inashangaza kuona yanga wanalilia goli ambalo sio goli ,mpaka refa anyoshe kati ndio linakua goli.
Pili kujitoa ufahamu wa kulilia nusu fainali ilihali mnajua viongozi wenu walishawatangazia malengo yenu ni kufika makundi hiyo robo ni kama bonasi hivyo mjue viongozi wakienda chooni hucheka peke yao kuwaona viumbe wa ajabu kulilia nusu fainali wakati timu iliyotayarishwa ni ya makundi.
Mwisho ni heri zote zimetoka tuweze kulala usingizi maana upuuzi ulikua mwingi kuanzia kwa mawaziri,maafisa habari na wachambuzi wao!
Wewe waache waende huko CAF wakavune aibu ya pili
 
Back
Top Bottom