kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
- Thread starter
- #21
Wanatiana ujinga haya refa akifungiwa ndio matokeo yamebadilika kamati ya masaa 72 kila uchao unafungia marefa faida yake wala hatuioni!Wewe waache waende huko CAF wakavune aibu ya pili