kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Ulivyo mpuuzi unacheka kwa kunificha!Hawa ndio think tank wa CCM na Simba.... 😅😅😅😅
Akili za makalioni zilizokuja ukiwa Simba na CCM ... TombanywanokoooUlivyo mpuuzi unacheka kwa kunificha!
Tulieni hizi kelele za vyura haitokuja kutokea mnachokiwaza!Si ajabu, sababu ni mtazamo wako unao uhuru wa kusema chochote... Hata kama ni upupu kama huu
Mnafikiri kule kuna marefa wa lindi na mwanza!Akili za makalioni zilizokuja ukiwa Simba na CCM ... Tombanywanokooo
Ona hii ****! Hapa umeongea nn Sasa?. Afrika inasema kilichotokea WWE unaleta utahira wa Simba.Mnafikiri kule kuna marefa wa lindi na mwanza!
Kuna tetesi mtapewa nafasi ya mamelod jitahidini kulia!Ona hii ****! Hapa umeongea nn Sasa?. Afrika inasema kilichotokea WWE unaleta utahira wa Simba.
Kila kukicha na bango lako la kutoshabikia Simba na yanga... Leo vipi Tena 😅 au akili zako zimebadilika.Kabla ya kupangiwa Robo fainali kucheza na Mamelody.
Viongozi wa yanga na Mashabiki baadhi ya walikuwa wanaomba Kupangiwa mamelody.
Walikuwa wanataka kuonyesha jinsi timu yao ilivyo Bora.
Wamezidiwa kila kitu kwenye mchezo hadi akili ya kumzonga mwamuzi kwenda kujiridhisha goli kwenye VAR.
Mimi sio shabiki wa yanga wala simba unanilazimisha kifupi mimi sio mkokoteni wa kusukumwa au kukokotwa ,baba alipenda yanga au simba unaogopa kusema ukweli.Kila kukicha na bango lako la kutoshabikia Simba na yanga... Leo vipi Tena 😅 au akili zako zimebadilika.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Inashangaza kuona yanga wanalilia goli ambalo sio goli ,mpaka refa anyoshe kati ndio linakua goli.
Pili kujitoa ufahamu wa kulilia nusu fainali ilihali mnajua viongozi wenu walishawatangazia malengo yenu ni kufika makundi hiyo robo ni kama bonasi hivyo mjue viongozi wakienda chooni hucheka peke yao kuwaona viumbe wa ajabu kulilia nusu fainali wakati timu iliyotayarishwa ni ya makundi.
Mwisho ni heri zote zimetoka tuweze kulala usingizi maana upuuzi ulikua mwingi kuanzia kwa mawaziri,maafisa habari na wachambuzi wao!
Yanga hakuwa na 3 keys/potential players ulitaka Yanga SC ijuaje ubora wa Mamelody Sundowns?Kabla ya kupangiwa Robo fainali kucheza na Mamelody.
Viongozi wa yanga na Mashabiki baadhi ya walikuwa wanaomba Kupangiwa mamelody.
Walikuwa wanataka kuonyesha jinsi timu yao ilivyo Bora.
Wamezidiwa kila kitu kwenye mchezo hadi akili ya kumzonga mwamuzi kwenda kujiridhisha goli kwenye VAR.
Hawamtaki hata kumsikia dadeeki yeye kosa lake sijui ni lipi nae hakuona kitu!si walisema huyo refa ana bahati na yanga, imekuwaje tena.
Wewe waache waende huko CAF wakavune aibu ya piliInashangaza kuona yanga wanalilia goli ambalo sio goli ,mpaka refa anyoshe kati ndio linakua goli.
Pili kujitoa ufahamu wa kulilia nusu fainali ilihali mnajua viongozi wenu walishawatangazia malengo yenu ni kufika makundi hiyo robo ni kama bonasi hivyo mjue viongozi wakienda chooni hucheka peke yao kuwaona viumbe wa ajabu kulilia nusu fainali wakati timu iliyotayarishwa ni ya makundi.
Mwisho ni heri zote zimetoka tuweze kulala usingizi maana upuuzi ulikua mwingi kuanzia kwa mawaziri,maafisa habari na wachambuzi wao!