Yanga mnaolia sana malengo yenu ilikua makundi robo ni kama bonasi

Wewe waache waende huko CAF wakavune aibu ya pili
Wanatiana ujinga haya refa akifungiwa ndio matokeo yamebadilika kamati ya masaa 72 kila uchao unafungia marefa faida yake wala hatuioni!
 
[emoji867]
 
Mimi naona jumatatu mashabiki wa yanga waandamane kwenda kwa mama kama kawaida yao ili apate kulitazama na hili haiwezekani wananchi wanyonge wananyang'anywa haki yao kwa nguvu.
Mama yako? Yaani unawaalika waende Kwa mama yako,,, anyway
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…