njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
YANGA HATUWEZI KUFANYA MAWAZO HAYO YA KUKURUPUKAJitoeni kwenye ligi, futeni week ya mwananchi , jitoeni michezo ya CAF kuonyesha jinsi msivyotaka masihara
YANGA HATUWEZI KUFANYA MAWAZO HAYO YA KUKURUPUKA
sawaKwa uoga huo mtaonewa sana, afisa wenu mfia team kanyanyaswa akiwa anaipambania team
Wala wasijitoe. Kule CAFCL wakienda waachie magoli kama 7 hivi ili watie nchi aibu.. Hapo lazima rais ataingilia suala la Manara.Hii yanga sc ya Hersi mbona laini laini sana? Manara keshamwaga petrol leo, hamna viberiti vya gas?
Mbona mko kimya? Mnaonewa na waziri...TFF halafu mmekaaa kama maboya tu, hadi mnaitwa vinyesi FC
Lianzisheni basi timbwili, Manara kafungiwa akitetea taasisi, ni ugomvi wa team siyo wake binafsi, acheni kuwa lelemama
Jitoeni kwenye ligi, futeni week ya mwananchi, jitoeni michezo ya CAF kuonyesha jinsi msivyotaka masihara