Yanga mnapocheza mechi ya kirafiki na KMC kujiandaa na mechi za kimataifa, msije kulialia

Mwishokambi

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
390
Reaction score
1,425
Yanga wanajiona kucheza mechi ya kirafiki na KMC ndio wamefanya maandalizi ya maana, kwao mechi za kirafiki za kimataifa hazina msaada na hazina tija, ila sawa, time will tell, nyie jioneni mnajua sana kwa vile mnawafunga Simba kila mnapocheza nao, mnaona kuwafunga Simba ni kipimo tosha kwenu cha kubeba kombe la CAF ila kaeni mkijua ndugu zangu, Al Hilal ndio mtakaocheza nao duru la 2 na sio St George, Ibenge ni hatari sana kwenye michuano ya CAF.
 
Inakuuma nini? kila mtu afanye yake
 
Kwahiyo Yanga malengo yake ni kumfunga Simba tu basi ila kimataifa haiwahusu siyo?

Kweli uto ni uto tu.
 
 
Tangu lini Mwenge ukavuka mipaka ya nchi?
 
Kwenye hizi mechi makocha kuna kitu wanatengeneza,mechi za kimataifa sio kwamba hatutaki lakini ni ngumu kuzipata
 
Mwoga ni yule anae jipima pima maana yake hajiamini
utopolo mnajua mkicheza friendly match za kimataifa Ni kupigwa kwa aibu tu.

Simba haichezi hizi mechi za kimataifa za kujipima sebuleni km Yanga mnavyojifungia Avic na vitimu vya ndondo. Toka hadharani ujipime na wanaume.

Ila Mpaka sasa Yanga Ni km ameshatinga nusu fainali ya cafcl, Nani wa kuisimamisha Yanga Afrika hii. Mechi za kirafiki za kimataifa za nini kwa kikosi Bora km Cha yanga. Nani Bora km Yanga Afrika,.

Simba waoga Sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…