Loftins
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 10,485
- 13,693
Hafanyi kazi bure, ila si kwa pesa zile alizokuwa akilipwa Aussems ilihali alikiuka masharti ya mkataba wake wa mwaka mmoja.Kwa hiyo huyo mbadala wake Sven anakuja kufanya kazi bure?
Alitakiwa kujitoa ama kupunguza kiwango cha mshahara wake nimeshawahi kueleza hili kwa kina humuhumu fatilia.
This is Simba brother, sio chura churani, mapato ya Simba ni makubwa makubwa sana kama viongozi wa klabu wakiamua kuyatilia maananiHii kitu ni hesabu ambazo hazina uhalisia my friend.
Tupo hapa tutaona.