Yanga mpeni mkono wa kwaheri Aziz Ki. Imetosha!

Yanga mpeni mkono wa kwaheri Aziz Ki. Imetosha!

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
Aziz Ki amekuwa na mchango mkubwa ndani ya Yanga. Ila kwa sasa imetosha aachwe aende akatafute timu sehemu nyingine anayoona watampa attention kama anayopewa Tanzania.

Ukimtazama uwanjani ni kama anacheza ilimrad kusogeza siku hana ile njaa tunayoijua, ni kama ameshachoka ila hana namna anapoteza mipira kirahisi na hajali, hakabi, apigi yale mashuti yake analaumu tu wenzie kama yeye ni Messi. Akikaa bench anageuka kocha.

Lakini pia amekuwa na dharau na kiburi nje ya uwanja hii nimeiona kwa macho yangu yaani amekuwa supastaa anaona kila mtu ni sisimzii. Watu wanamtumia kutengeneza pesa asije kusahau yeye ni mchezaji wa soka.

Engineer endelea kutafuta mbadala wake japo pia nafasi yake anaweza akaicover Pacome vizuri sana na tusione pengo lolote pembeni kule akabaki Ikangarombo au Wonderkid Mzize kama hawatafika bei next season.
 
Aziz Ki amekuwa na mchango mkubwa ndani ya Yanga. Ila kwa sasa imetosha aachwe aende akatafute timu sehemu nyingine anayoona watampa attention kama anayopewa Tanzania.
Ukimtazama uwanjani ni kama anacheza ilimrad kusogeza siku hana ile njaa tunayoijua, ni kama ameshachoka ila hana namna anapoteza mipira kirahisi na hajali, hakabi, apigi yale mashuti yake analaumu tu wenzie as if yeye ni Messi. Akikaa bench anageuka kocha.
Lakini pia amekuwa na dharau na kiburi nje ya uwanja hii nimeiona kwa macho yangu yani amekuwa supastaa anaona kila mtu ni sisimzii. Watu wanamtumia kutengeneza pesa asije kusahau yeye ni mchezaji wa soka.

Engineer endelea kutafuta mbadala wake japo pia nafasi yake anaweza akaicover Pacome vizuri sana na tusione pengo lolote pembeni kule akabaki Ikangarombo au Wonderkid Mzize kama hawatafika bei next season.
Eti mchezaji anafunga goli halafu hashangilii, ila Yanga sijui wanajikuta nani?
 
Aziz Ki amekuwa na mchango mkubwa ndani ya Yanga. Ila kwa sasa imetosha aachwe aende akatafute timu sehemu nyingine anayoona watampa attention kama anayopewa Tanzania.
Ukimtazama uwanjani ni kama anacheza ilimrad kusogeza siku hana ile njaa tunayoijua, ni kama ameshachoka ila hana namna anapoteza mipira kirahisi na hajali, hakabi, apigi yale mashuti yake analaumu tu wenzie as if yeye ni Messi. Akikaa bench anageuka kocha.
Lakini pia amekuwa na dharau na kiburi nje ya uwanja hii nimeiona kwa macho yangu yani amekuwa supastaa anaona kila mtu ni sisimzii. Watu wanamtumia kutengeneza pesa asije kusahau yeye ni mchezaji wa soka.

Engineer endelea kutafuta mbadala wake japo pia nafasi yake anaweza akaicover Pacome vizuri sana na tusione pengo lolote pembeni kule akabaki Ikangarombo au Wonderkid Mzize kama hawatafika bei next season.
Ukimalizaa kumsema Aziz sasa uhame apo kwa shemeji yako.
 
Aziz Ki amekuwa na mchango mkubwa ndani ya Yanga. Ila kwa sasa imetosha aachwe aende akatafute timu sehemu nyingine anayoona watampa attention kama anayopewa Tanzania.
Ukimtazama uwanjani ni kama anacheza ilimrad kusogeza siku hana ile njaa tunayoijua, ni kama ameshachoka ila hana namna anapoteza mipira kirahisi na hajali, hakabi, apigi yale mashuti yake analaumu tu wenzie as if yeye ni Messi. Akikaa bench anageuka kocha.
Lakini pia amekuwa na dharau na kiburi nje ya uwanja hii nimeiona kwa macho yangu yani amekuwa supastaa anaona kila mtu ni sisimzii. Watu wanamtumia kutengeneza pesa asije kusahau yeye ni mchezaji wa soka.

Engineer endelea kutafuta mbadala wake japo pia nafasi yake anaweza akaicover Pacome vizuri sana na tusione pengo lolote pembeni kule akabaki Ikangarombo au Wonderkid Mzize kama hawatafika bei next season.
Leo umeandika ukweli mtupu Baba level a.k.a chawa wa Mondi. Wafitinishe Yanga na aziz Ki kama ulivyomfitinisha mbona hapo usafini kwenu.

Ila amekuwa mme mwenzenu na anawalelea mtoto wenu. 😀😀😀😀😀
 
Ikifika wakati wa kuondoka ataondoka ila kwa Sasa naona bado anafaa kucheza yanga
Msimu huu team imekaa vibaya sana ndio maana ukiacha mabeki Job na Bacca ambao wamekuwa na nidham ENDELEVU uwanjani wengine wote naona kupwa kujaa
 
Aziz Ki amekuwa na mchango mkubwa ndani ya Yanga. Ila kwa sasa imetosha aachwe aende akatafute timu sehemu nyingine anayoona watampa attention kama anayopewa Tanzania.

Ukimtazama uwanjani ni kama anacheza ilimrad kusogeza siku hana ile njaa tunayoijua, ni kama ameshachoka ila hana namna anapoteza mipira kirahisi na hajali, hakabi, apigi yale mashuti yake analaumu tu wenzie kama yeye ni Messi. Akikaa bench anageuka kocha.

Lakini pia amekuwa na dharau na kiburi nje ya uwanja hii nimeiona kwa macho yangu yaani amekuwa supastaa anaona kila mtu ni sisimzii. Watu wanamtumia kutengeneza pesa asije kusahau yeye ni mchezaji wa soka.

Engineer endelea kutafuta mbadala wake japo pia nafasi yake anaweza akaicover Pacome vizuri sana na tusione pengo lolote pembeni kule akabaki Ikangarombo au Wonderkid Mzize kama hawatafika bei next season.
Tunapiga Bei yeye na Mzize
 
Back
Top Bottom