Gusa achia twende kwao
JF-Expert Member
- Jan 3, 2025
- 248
- 287
Na kipi humaliza Nguvu kwa wanawake maana tuna tim za wanawake pia?Itakuwa Magoti yameisha nguvu....
Sex inamaliza nguvu kwa wanaume
Lakini ukimwangalia ni kama bado anafaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kipi humaliza Nguvu kwa wanawake maana tuna tim za wanawake pia?Itakuwa Magoti yameisha nguvu....
Sex inamaliza nguvu kwa wanaume
Lakini ukimwangalia ni kama bado anafaa
Sex na stressNa kipi humaliza Nguvu kwa wanawake maana tuna tim za wanawake pia?
🤣Hi,upo?Sex muhimu Kwa mwanaume
Nguvu zao zinaishajeSex na stress
Wakati wa kukojoa...hujawahi fika kileleni mkuu?Nguvu zao zinaishaje
Umeona eeh mpaka ukaze machoHawa zamaradi inamaan hawana uwezo ata wakuweka HD
Yaan ninachoona ni ilo libango la LIVE kwingine naona tu FPS moja mojaUmeona eeh mpaka ukaze macho
Itakuwa Magoti yameisha nguvu....
Sex inamaliza nguvu kwa wanaume
Lakini ukimwangalia ni kama bado anafaa
Kwanza wako wapi mbona naona misituYaan ninachoona ni ilo libango la LIVE kwingine naona tu FPS moja moja
Rubbish wasenge nyinyi. Endeleeni kua na matokeo yenu mfukoni march 8. Tutawafira mchana kweupe.Well said
SawaRubbish wasenge nyinyi. Endeleeni kua na matokeo yenu mfukoni march 8. Tutawafira mchana kweupe.
Usije ukakimbia tu ukahamia jukwaa la ujenziAtashangilia march 8
Si wanajua namna wanavyofanya mipango mipango.Eti mchezaji anafunga goli halafu hashangilii, ila Yanga sijui wanajikuta nani?
😅😅Sihami jukwaa mtaniUsije ukakimbia tu ukahamia jukwaa la ujenzi
Suala la kutoa maelekezo kwa wachezaji uwanjani anapokua benchi aambiwe aache. Kocha yupo aachwe afanye kazi yake.Aziz Ki amekuwa na mchango mkubwa ndani ya Yanga. Ila kwa sasa imetosha aachwe aende akatafute timu sehemu nyingine anayoona watampa attention kama anayopewa Tanzania.
Ukimtazama uwanjani ni kama anacheza ilimrad kusogeza siku hana ile njaa tunayoijua, ni kama ameshachoka ila hana namna anapoteza mipira kirahisi na hajali, hakabi, apigi yale mashuti yake analaumu tu wenzie kama yeye ni Messi. Akikaa bench anageuka kocha.
Lakini pia amekuwa na dharau na kiburi nje ya uwanja hii nimeiona kwa macho yangu yaani amekuwa supastaa anaona kila mtu ni sisimzii. Watu wanamtumia kutengeneza pesa asije kusahau yeye ni mchezaji wa soka.
Engineer endelea kutafuta mbadala wake japo pia nafasi yake anaweza akaicover Pacome vizuri sana na tusione pengo lolote pembeni kule akabaki Ikangarombo au Wonderkid Mzize kama hawatafika bei next season.