Yanga msitafute wachawi wachawi wenyewe..wale wachezaji wanarekodiwa wako bar Masaki siku 3 kabla ya mechi mkaona starehee nabado

Yanga msitafute wachawi wachawi wenyewe..wale wachezaji wanarekodiwa wako bar Masaki siku 3 kabla ya mechi mkaona starehee nabado

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Yaaan shida ni maadili
YAAN KUNA video zilisambaa kibaoo za Azizi pakome na baadhi ya wachezaji wakiwa bat siku tatu kabala ya mechi

Aikutosha ilikuwa mechi nyingine wakaonekana wako bar Moja pale Morocco na wahuni WA like wakichezewa SEHEMU zao.

Hii ya masakii pakome alilizwa dollar 5000 na simu

Awajatangaza tu

Eng ersi lazima ufike wakati usimamie niidhamu else mtaichezeaaaa sanaaaaa hizi style za kufungwa.

Alldbest
 
Yaaan shida n maadili
YAAN KUNA video zilisambaa kibaoo za azizi pakome na baadhi ya wachezaji wakiwa bat siku tatu kabala ya mechi

Aikutosha ilikuwa mechi nyingine wakaonekana wako bar Moja pale Morocco na wahuni WA like wakichezewa SEHEMU zaooo....


Hii ya masakii pakome alilizwa dollar 5000 na simu

Awajatangaza tu

Eng ersi lazima ufike wakati usimamie niidhamu else mtaichezeaaaa sanaaaaa hizi style za kufungwa ..

Alldbest
Na wanamaliza wa mwisho kwenye kundi mwaka huu
 
Na wanamaliza wa mwisho kwenye kundi mwaka huu
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC.
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio (Visababu) SC.
25. Manguruwe SC.
Screenshot_2023-11-23-13-56-10-25_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC.
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio (Visababu) SC.
25. Manguruwe SC.View attachment 3174259

.
 

Attachments

  • JamiiForums1381953234.jpeg
    JamiiForums1381953234.jpeg
    49.5 KB · Views: 6
Zipo nyingii mkuuu na kunanwalinzi wanyasa majirani ZANGU wanawllindannyumba zao wakikueleza hao malayalam wanaopishana balaankubwaa na eng anajua hayayote

Halafu mnashangaa kufungwa
Malaya na kufungwa si vitu viwili tofauti? Au kuwa wachezaji huwaondolea ubinadamu! Kufungwa kwa Yanga,ukifuatilia utaona wachezaji kiakili hawapo mchezoni. Na hii hutokana na inshu za ndani kwenye uongozi. Kwa hiyo,walivokuwa wakifanya vizuri,hawakuwa wanakunywa au kupishana kwa malaya hao!? Wa simba nao sasa itakuwa ndo kinachowaponza!
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC.
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio (Visababu) SC.
25. Manguruwe SC.
JamiiForums-31645776.jpeg
 
Back
Top Bottom