Na wanamaliza wa mwisho kwenye kundi mwaka huuYaaan shida n maadili
YAAN KUNA video zilisambaa kibaoo za azizi pakome na baadhi ya wachezaji wakiwa bat siku tatu kabala ya mechi
Aikutosha ilikuwa mechi nyingine wakaonekana wako bar Moja pale Morocco na wahuni WA like wakichezewa SEHEMU zaooo....
Hii ya masakii pakome alilizwa dollar 5000 na simu
Awajatangaza tu
Eng ersi lazima ufike wakati usimamie niidhamu else mtaichezeaaaa sanaaaaa hizi style za kufungwa ..
Alldbest
Sisi ndiyo Simba SC AKA;Na wanamaliza wa mwisho kwenye kundi mwaka huu
Sisi ndiyo Simba SC AKA;
1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC.
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio (Visababu) SC.
25. Manguruwe SC.View attachment 3174259
Malaya na kufungwa si vitu viwili tofauti? Au kuwa wachezaji huwaondolea ubinadamu! Kufungwa kwa Yanga,ukifuatilia utaona wachezaji kiakili hawapo mchezoni. Na hii hutokana na inshu za ndani kwenye uongozi. Kwa hiyo,walivokuwa wakifanya vizuri,hawakuwa wanakunywa au kupishana kwa malaya hao!? Wa simba nao sasa itakuwa ndo kinachowaponza!Zipo nyingii mkuuu na kunanwalinzi wanyasa majirani ZANGU wanawllindannyumba zao wakikueleza hao malayalam wanaopishana balaankubwaa na eng anajua hayayote
Halafu mnashangaa kufungwa
Sisi ndiyo Simba SC AKA;
Afadhali alilizwa, ili hela tunazowalipa zibaki Bongo kwenye mzunguko. Afadhali pia wanapokunywa pombe kwenye baa za hapa nchini, maana wanaziacha hela zetu humu humu nchiniHii ya masakii pakome alilizwa dollar 5000 na simu