Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
Walipofaulu 26 kati ya 638 tulilalamika, kumbe Law school walikuwa sahihi.Huu ndiyo ukweli, bwana mdogo alitimiza Yale yote yaliyopo kwenye mkataba ikiwemo kuilipa kilabu yake kiasi Cha pesa ili aondoke Kama mchezaji huru. Sasa Yanga Kwa panic wameisusa hiyo pesa. Sasa Faisali atalazimika kuitumikia klabu yake mpya bila kujali suala hilo maana yanga ndiyo wamevunja mkataba. Suala la kukiuka tu kipengele Cha mkataba ( ambapo yanga wameisusa pesa hiyo ni ishara ya kuvunja mkataba) Kilabu ya Yanga imejaa makanjanja.
Hakika Mkuu. Law School walikuwa sahihi.Walipofaulu 26 kati ya 638 tulilalamika, kumbe Law school walikuwa sahihi.
Huu hapaHuo Mkataba umeuona kwa macho yako? Umeusoma clauses zote? Umeelewa?
Au unabwabwaja tu kama ilivyo ada kwa waTZ wengi?
HahahaWalipofaulu 26 kati ya 638 tulilalamika, kumbe Law school walikuwa sahihi.
Mkataba kumbe hausemi popote atalazimika kujadili nao juu ya kuvunja mkataba