Yanga na Klabu bingwa Africa kunani?

Yanga na Klabu bingwa Africa kunani?

Moshi25

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2022
Posts
2,555
Reaction score
4,118
Mimi ni Utopolo Lia Lia nauliza wachezaji na uongozi wa Yanga kunani mechi za Klabu bingwa Africa, kwanini hatufiki makundi? Kwanini tunafungwa na kutolewa mechi za awali? Mchawi ni nani?

Mwaka huu kipimo Cha mafanikio iwe sio kuchukua kombe la NBC premier league, Hilo ni Mali yetu tayari , mashabiki tunataka kombe la Klabu Bingwa Africa na tunaamini wachezaji wetu wakiamua tunaweza!

Kwanini Kila siku Simba wajisifie kuhusu hilo kuwa sisi hatuna ubavu kucheza Klabu bingwa Africa na tunajua Makolo timu hawana?

Sisi Utopolo tuna Kila kitu, tuna talented and motivated players, tuna uongozi wenye akili Eng Hersi, tuna mashabiki wanaojielewa wanaoshangilia makombe sio kibegi, Sasa shida Iko wapi?

Mwaka huu tunataka Yanga tucheze makundi Klabu bingwa Africa basi kama kombe ni ngumu kulibeba!

Nawasilisha!
Weekend njema wote!
 
Achana na Yanga. We jiandae kesho mko kwenye siku zenu, Achana na uto, fatilia timu yako kolo iliyowahi kuchukua hilo kombe la klabu bingwa
Jibu hoja!
 
Amka utalowesha godoro
 
Simba ni timu yenye wachezaji ambao ni Mo technicality kuliko timu YOYOTE TANZANIA.

HII haijaanza Jana Wala JUZI.
Ni miaka Mingi mno. Hawa akina chama UNAOWAONA Leo kulikoluwa na zaidi tangu ENZI za.....

Abdallah kibadeni.
Hamis Gaga
HARUNA Moshi.
Na wengineo wengi.

Yanga HAIJAWAHI kuwa ni timu ya Wachezaji WAZURI technically.
IMEKUWA na wachezaji WANACHEZA Jihad, Mbio NGUVU Nyingi mno nk.
 
Mimi ni Utopolo Lia Lia nauliza wachezaji na uongozi wa Yanga kunani mechi za Klabu bingwa Africa, kwanini hatufiki makundi? Kwanini tunafungwa na kutolewa mechi za awali? Mchawi ni nani?

Mwaka huu kipimo Cha mafanikio iwe sio kuchukua kombe la NBC premier league, Hilo ni Mali yetu tayari , mashabiki tunataka kombe la Klabu Bingwa Africa na tunaamini wachezaji wetu wakiamua tunaweza!

Kwanini Kila siku Simba wajisifie kuhusu hilo kuwa sisi hatuna ubavu kucheza Klabu bingwa Africa na tunajua Makolo timu hawana?

Sisi Utopolo tuna Kila kitu, tuna talented and motivated players, tuna uongozi wenye akili Eng Hersi, tuna mashabiki wanaojielewa wanaoshangilia makombe sio kibegi, Sasa shida Iko wapi?

Mwaka huu tunataka Yanga tucheze makundi Klabu bingwa Africa basi kama kombe ni ngumu kulibeba!

Nawasilisha!
Weekend njema wote!
Ombeni CAF wawaandalie makolo kombe la robo fainali.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Msimu huu Fainali nyingine inafikiwa na wananchi! Ni fainali ya klabu bingwa Afrika! Nyie bakini na robo zenu!
 
Yanga haijawahi kumiliki shabiki mbumbumbu kama wewe. Hivyo acha kusumbua watu kujibu hayo mashudu yako uliyo yaandika hapo juu.
Yanga tungekuwa na mashabiki wa hovyo kama huyu, hii timu isingefika hapa.
 
Simba ni timu yenye wachezaji ambao ni Mo technicality kuliko timu YOYOTE TANZANIA.

HII haijaanza Jana Wala JUZI.
Ni miaka Mingi mno. Hawa akina chama UNAOWAONA Leo kulikoluwa na zaidi tangu ENZI za.....

Abdallah kibadeni.
Hamis Gaga
HARUNA Moshi.
Na wengineo wengi.

Yanga HAIJAWAHI kuwa ni timu ya Wachezaji WAZURI technically.
IMEKUWA na wachezaji WANACHEZA Jihad, Mbio NGUVU Nyingi mno nk.
Vijana wa sasa hakuna wanayemjua zaidi ya Chama na Luis. Hata Okwi wa majuzi tu hawamkumbuki.
 
Simba ni timu yenye wachezaji ambao ni Mo technicality kuliko timu YOYOTE TANZANIA.

HII haijaanza Jana Wala JUZI.
Ni miaka Mingi mno. Hawa akina chama UNAOWAONA Leo kulikoluwa na zaidi tangu ENZI za.....

Abdallah kibadeni.
Hamis Gaga
HARUNA Moshi.
Na wengineo wengi.

Yanga HAIJAWAHI kuwa ni timu ya Wachezaji WAZURI technically.
IMEKUWA na wachezaji WANACHEZA Jihad, Mbio NGUVU Nyingi mno nk.
Sizungumzumzii Yanga ya 1993 iliyotwaa klabu bingwa Afrika mashariki na kati ambayo ni kizazi bora kabisa cha soka kuwahi kutokea miaka ya 90' maana iyo ilikua first eleven ya timu ya Taifa.
Narudi nyuma mpaka mwaka 1983
1. Hamis Kinye
2. Yusufu Ismail Bana
3. Ahmedi Amasha
4. Isihaka hasan
5. Rashidi Juma Chama
6. Juma Mkambi
7. Abubakari Saum
8. Charles Boniface Mkwasa
9.Makumbi Juma
10. Abeid Mziba
Iyo ilikua sio line up ya Yanga tu bali timu ya Taifa. Sasa usiwe unaandika upuuzi.
Yanga wameanza kutawala soka la nchi hii kabla ya Tanu haijazaliwa mpaka leo.
Uyo Gaga aliingia Yanga ya 1993 alikua akisubiri kwa stephen Musa.
Katika ivyo vikosi vya1993 na 1983 uyo haruna Moshi hawezi ata kukaa bench labda yanga B uko.tena ata uko Yanga B kiungo wajuu alikua Athumani china labda angejifunza u kipa.
 
Mimi ni Utopolo Lia Lia nauliza wachezaji na uongozi wa Yanga kunani mechi za Klabu bingwa Africa, kwanini hatufiki makundi? Kwanini tunafungwa na kutolewa mechi za awali? Mchawi ni nani?

Mwaka huu kipimo Cha mafanikio iwe sio kuchukua kombe la NBC premier league, Hilo ni Mali yetu tayari , mashabiki tunataka kombe la Klabu Bingwa Africa na tunaamini wachezaji wetu wakiamua tunaweza!

Kwanini Kila siku Simba wajisifie kuhusu hilo kuwa sisi hatuna ubavu kucheza Klabu bingwa Africa na tunajua Makolo timu hawana?

Sisi Utopolo tuna Kila kitu, tuna talented and motivated players, tuna uongozi wenye akili Eng Hersi, tuna mashabiki wanaojielewa wanaoshangilia makombe sio kibegi, Sasa shida Iko wapi?

Mwaka huu tunataka Yanga tucheze makundi Klabu bingwa Africa basi kama kombe ni ngumu kulibeba!

Nawasilisha!
Weekend njema wote!
kuchukua ubingwa wa africa bado ili uchukue ubingwa wa africa ni lazima investment ya wachezaji ipindukie bilioni 19 sio tunayofanya ya bil 5
 
Hatupotei maboya kipaumbele Chetu ni .Ngao ya hisani ,NBC,Kombe la tff Kisha huko Africa makundi basi nyie endeleeni na malengo yenu yetu tuachieni
 
Kumbe ni kweli wenye akili ni wawili, Kikwete na Sunday Manara, badala ya kukubali Ukweli na watu kuleta mikakati Yanga tufike mbali klabu bingwa hapa nasoma comments zote ni makasirikio , ushamba, na pumba tupu kutoka mashabiki maandazi watupu, sijaona shabiki mwenye akili bado! Wote vilaza!
 
kuchukua ubingwa wa africa bado ili uchukue ubingwa wa africa ni lazima investment ya wachezaji ipindukie bilioni 19 sio tunayofanya ya bil 5
Angalau wewe una ufahamu wengine mashabiki maandazi tupu, wamejaa mihemko badala ya kujadili hoja!
Viongozi wa Yanga Wana deni kwenye kiwango Cha Yanga klabu bingwa Africa
 
Sizungumzumzii Yanga ya 1993 iliyotwaa klabu bingwa Afrika mashariki na kati ambayo ni kizazi bora kabisa cha soka kuwahi kutokea miaka ya 90' maana iyo ilikua first eleven ya timu ya Taifa.
Narudi nyuma mpaka mwaka 1983
1. Hamis Kinye
2. Yusufu Ismail Bana
3. Ahmedi Amasha
4. Isihaka hasan
5. Rashidi Juma Chama
6. Juma Mkambi
7. Abubakari Saum
8. Charles Boniface Mkwasa
9.Makumbi Juma
10. Abeid Mziba
Iyo ilikua sio line up ya Yanga tu bali timu ya Taifa. Sasa usiwe unaandika upuuzi.
Yanga wameanza kutawala soka la nchi hii kabla ya Tanu haijazaliwa mpaka leo.
Uyo Gaga aliingia Yanga ya 1993 alikua akisubiri kwa stephen Musa.
Katika ivyo vikosi vya1993 na 1983 uyo haruna Moshi hawezi ata kukaa bench labda yanga B uko.tena ata uko Yanga B kiungo wajuu alikua Athumani china labda angejifunza u kipa.
Wewe tumia akili jibu hoja Yanga haijiwezi klabu bingwa Africa huo ni ukweli weka ujinga mfukoni, lete mikakati
 
Back
Top Bottom