Yanga na Klabu bingwa Africa kunani?

Usijesahau kwamba mwaka huu Hakuna mtelezo kwenda shirikisho. Mkipigwa mnarudi bongo kugawa bahasha.

Uto mnajitoa fahamu Sana.
Kipindi mmekandwa na janweng galaxy mlidondokea huko loser... Hadi mkaenda na kuni za kufanya uchawi huko south lakin bado mlipakatwa...
 
Usijesahau kwamba mwaka huu Hakuna mtelezo kwenda shirikisho. Mkipigwa mnarudi bongo kugawa bahasha.

Uto mnajitoa fahamu Sana.

Hakuna mwana yanga au kiongozi wa yanga ambae halifahamu hili hivyo watalifanyia kaz mungu akijaalia msimu huu watafika makundi na kwenda mbali zaidi kikubwa imani
 
Hakuna mwana yanga au kiongozi wa yanga ambae halifahamu hili hivyo watalifanyia kaz mungu akijaalia msimu huu watafika makundi na kwenda mbali zaidi kikubwa imani
Limewashinda miaka 24
 
Yaliyo pita yashapita tupange yajayo kila siku mambo yanabadilika acha kukalili maisha kisa walifeli wengine na ss tufeli
Failure na pia losers.

Klabu bingwa Utopolo nmeshindwa.

Nakaririje wakati Jana na juzi mlifeli.

Hao wengine Ni kina nani.
 
Si mshasema nyie malengo yenu ni Makundi klabu bingwa Afrika,kuna nn tena hapo?

Kubwa jinga lina malengo ya chekechea.

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Eti malengo ya mwaka huu kipimo kisiwe NBC

Utafikiri NBC yenyewe mtaichukua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…