lufungulo k
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 2,601
- 2,058
Mimi nikiwa ni mdau wa soka, Nashangazwa na sifa ,majigambo na majivuno wanayojipatia mashabiki , wapenzi , viongozi na waandishi wa habari za michezo kuwa HATUA YA ROBO FAINALI YA MASHINDANO YA AFRIKA yaliyofikiwa na vilabu hivi eti tunaita MAFANIKIO.
Huo ni UONGO, UZEMBE NA UDWANZI, mafanikio yoyote katika mashindano ni kutwaa MATAJI. Kama timu yako haijawahi kutwaa taji katika mashindano inayoshiriki USIITE MAFANIKIO.
Hio ni KUSHIRIKI tu. Lakini sababu ya UONGO, UZEMBE NA UDWANZI ndo maana eti TUNATAMBA NA KUITA mafanikio kitendo cha kufika ROBO.
Sasa unafika ROBO halafu unajisifia! Jiulize hivi GEITA GOLD kwenye kombe la FA ilipofungwa na YANGA mwaka jana pale LUPASO walifurahia. Eti kwa sababu wametolewa ROBO fainali? Hakuna walisikitika kwa sababu MAFANIKIO NI KUBEBA KOMBE.
TUACHENI, UONGO, UZEMBE NA UDWANZI pesa ya mama ni kichocheo cha kuhakikisha tunafikia mafanikio ambayo ni KUBEBA MAKOMBE.
Huo ni UONGO, UZEMBE NA UDWANZI, mafanikio yoyote katika mashindano ni kutwaa MATAJI. Kama timu yako haijawahi kutwaa taji katika mashindano inayoshiriki USIITE MAFANIKIO.
Hio ni KUSHIRIKI tu. Lakini sababu ya UONGO, UZEMBE NA UDWANZI ndo maana eti TUNATAMBA NA KUITA mafanikio kitendo cha kufika ROBO.
Sasa unafika ROBO halafu unajisifia! Jiulize hivi GEITA GOLD kwenye kombe la FA ilipofungwa na YANGA mwaka jana pale LUPASO walifurahia. Eti kwa sababu wametolewa ROBO fainali? Hakuna walisikitika kwa sababu MAFANIKIO NI KUBEBA KOMBE.
TUACHENI, UONGO, UZEMBE NA UDWANZI pesa ya mama ni kichocheo cha kuhakikisha tunafikia mafanikio ambayo ni KUBEBA MAKOMBE.