kipanta
JF-Expert Member
- Sep 2, 2014
- 925
- 1,086
Ila yanga mna lawama ambazo hata hamfikirii kwakweli, game ya yanga vs azam, kuna miujiza niliona, lakini sijaona yanga wakilaumu , lile goli walofunga azam hahahahahaha , refa kagoma eti faulo khaaa!! Emu vibanzi vyetu tuvipeleke pande zote!! Timu inacheza judo uwanjani kwanini refa asitoe faulo, cha msingi jipangeni msimu ujao ili mje mchukue kombe !! Makocha wanaojua mpira wala huwa hawalaumu!!