Yanga ndio klabu pekee kutoka Tanzania imewai kupata ushindi kwenye nchi za kiarabu hivi karibuni ndani ya dk 90 kama ipo nyingine tutajie!

Ilimbamiza zamalek ndani ya mda Gani? Soma Uzi vizuri ulimtoa zamalek nje ya dk 90 kwa mikwaju ya penalty,,
Usitulazimishe sasa kukubalina na ww..sisi kama wana Simba hatukubaliani na Mazuzu...
 
Imewai.......kamusi imegoma kunipa maana ya neno hilo ili iendane na habari ya kitopolo.
 
Amini usiamini,wewe ni kibaka!
 
Vichekesho haviishi hii Tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…