CK Allan
JF-Expert Member
- Aug 14, 2013
- 2,781
- 6,139
Ni sawa na mzazi kwenye shule ambayo mwanae anasoma na mtoto wa jirani yake. Huyu Mzazi hapendi kuona mtoto wa mwenzake anafaulu, kwahiyo anamhonga mwalimu mtoto wake apewe mtihani rahisi au kupewa majibu halafu mtoto wa Jirani yake apewe mtihani mgumu! Ni kweli mtoto anafaulu mitihani ya ndani lakini ikija Necta mtoto wake chali!
Mara ngapi tunaona kwenye ligi yetu timu ikicheza na Simba inaahidiwa pesa lakini timu hiyo hiyo ikicheza na Yanga hatuoni wakiahidiwa? Umejiuliza zile pesa zinatoka wapi?
Hapo sijgusa ununuzi wa marefa!!
Mara ngapi tunaona kwenye ligi yetu timu ikicheza na Simba inaahidiwa pesa lakini timu hiyo hiyo ikicheza na Yanga hatuoni wakiahidiwa? Umejiuliza zile pesa zinatoka wapi?
Hapo sijgusa ununuzi wa marefa!!