YANGA NDO TIMU ILIOINGIA MAKUNDI KIBABE CAFCL MSIMU HUU

YANGA NDO TIMU ILIOINGIA MAKUNDI KIBABE CAFCL MSIMU HUU

Wewe ni taswira ya watanzania wengi. Ujinga ujuaji, na ufala humohumo.

Huwezi kuwa na akili timamu utoe pesa kwaajili ya magoli wakati shule zinauhaba wa vitendea kazi, Afya za wazee ni tatizo, sekta ya kilimo ni changamoto. Unapeleka pesa kwenye mpira..

Mashabiki wa yanga na simba siku mkipata akili Taifa ..
Wewe naye upeo mdogo ndo unakusumbua!
Pesa ya magoli ni pesa kidogo sana ambayo haina impact yoyote ktk sectors ulizozitaja!
Hujui tu how money works!
Huko unakosema kumepelekwa mabilioni lakini hali ndo kama hiyo.
Magoli hata yakifungwa na Simba na Yanga Kila mechi, bilioni moja haiwezi Kwisha.
Mimi nadhani Rais Samia aongeze dau maana Promo analopata ni kubwa sana ukilinganisha na kiasi anachotoa!
 
Wewe naye upeo mdogo ndo unakusumbua!
Pesa ya magoli ni pesa kidogo sana ambayo haina impact yoyote ktk sectors ulizozitaja!
Hujui tu how money works!
Huko unakosema kumepelekwa mabilioni lakini hali ndo kama hiyo.
Magoli hata yakifungwa na Simba na Yanga Kila mechi, bilioni moja haiwezi Kwisha.
Mimi nadhani Rais Samia aongeze dau maana Promo analopata ni kubwa sana ukilinganisha na kiasi anachotoa!
Umeongea point kubwa sana
Rais anajua anavyopush hizi team serikali in turn inapata hela nyingi (Kodi ) kupitia wageni na mapato ya uwanjani
Imagine team ya mabululu tangu ije Ina kama siku 4 hapa na wanatumia dollar lazima serikali imeingiza hela nyingi hata wale wa Ethiopia hela wameingiza Zenji ni kubwa kuliko Ile 30 ml this is business Wala hakuna Bure
Yanga kaingia makundi pale serikali inangoja mamilioni kupitia kodi
 
Umeongea point kubwa sana
Rais anajua anavyopush hizi team serikali in turn inapata hela nyingi (Kodi ) kupitia wageni na mapato ya uwanjani
Imagine team ya mabululu tangu ije Ina kama siku 4 hapa na wanatumia dollar lazima serikali imeingiza hela nyingi hata wale wa Ethiopia hela wameingiza Zenji ni kubwa kuliko Ile 30 ml this is business Wala hakuna Bure
Yanga kaingia makundi pale serikali inangoja mamilioni kupitia kodi
Kwanza hizo million 30 zingepelekwa mashuleni, hazitoshi kujenga hata vyoo, kwa mifumo ya manunuzi tuliyonayo.

Hamasa kwa timu inaweza kuwa more beneficial kuliko kuzipeleka kwenye matumizi ya hovyo serikalini.
 
Kujifanya unafunga magoli mengi wakati kuna wenzako wanauwezo mkubwa kuliko wewe wanafunga magoli kimkakakati ni kufanya kila mechi utakayokutana nayo kuwa ngumu.
Futa huu ujinga, magoli mengi ni warning kwa next opponent, Yanga siyo under dog.
 
Umeongea point kubwa sana
Rais anajua anavyopush hizi team serikali in turn inapata hela nyingi (Kodi ) kupitia wageni na mapato ya uwanjani
Imagine team ya mabululu tangu ije Ina kama siku 4 hapa na wanatumia dollar lazima serikali imeingiza hela nyingi hata wale wa Ethiopia hela wameingiza Zenji ni kubwa kuliko Ile 30 ml this is business Wala hakuna Bure
Yanga kaingia makundi pale serikali inangoja mamilioni kupitia kodi
Kwani kabla ya hiyo hamasa timu zilikuwa haziji na hazitumii "dollar"? Hakuna nyongeza yoyote ya mapato serikalini iliyotokana na Kodi, ujio wa wageni au mapato ya viwanjani. Kwanza ukiangalia vitabu vya mapato na matumizi vya hivi vilabu, vinalipa kodi ndogo sana.

Hauhitaji jicho la tatu kujua haya yote yanafanyika kama mitaji ya kisiasa ila hayana impact yoyote kwa hizi timu au maendeleo ya mpira wa Tanzania na kiufundi inaweza kuwa distraction tu. Timu inaweza kuwa inahitaji kujlinda zaidi, wewe unawapa hamasa ya magoli.

KIbongobongo milioni 100 au hata milioni 30 inaweza kuwa na impact kubwa sana kama ikitumika vizuri na ikielekezwa sehemu sahihi.
 
Yanga wana madhaifu mengi kama team sema kwasababu inashinda hakuna anaye yazungumzia ila kwa uchezaji wao siwaoni wakifika popote hawana discipline kwenye kujilinda.
 
Back
Top Bottom