Yanga ni bonge la timu naipenda sana

Yanga ni bonge la timu naipenda sana

Nebuchadneza

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2023
Posts
435
Reaction score
1,093
Habari wana yanga wenzangu.

Kweli yanga tunachukiwa sana,imejizihirisha leo sehemu nilipokuwa nacheki mechi ya yanga na lamba lamba mashabiko wa simba walikuwa wanatukana piga hao mbwa.

Si ghafla azizi k akawafunga mdomo,wakakimbia banda kwa aibu,sasa simba kiko wapi?

Yanga ni timu ya kuifundisha simba na hizo timu nyingine mpira ni dakika 90,na timu inayocheza mpira kwa kufurahisha kwa sasa ni yanga pekee,aisee kesho taifa linaenda kuingia kwenye aibu ya mwaka.

Kesho itakuwa aibu ya mwaka simba itafungwa goli 4 nipo pale nasubria maua yangu nitayapokea kwa mikono miwili,jamaa walikamia sana mechi Leo,wachezaji wa yanga wakafungua bomba la mafuriko kilichowakuta lamba lamba lazima wakalale na viatu.

Kesho mapema nawahi siti ya mbele kwenye banda,kuwacheka makoro.

Yanga nakupenda sanaaaaaaaaa💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛👍👍👍
 
FB_IMG_1682646137959 (3).jpg


Tukiwaambia Hamna akili mnasema tunawatukana
 
IMG_8024.jpeg


Mashabiki WA Yanga ni wapumbavu.

Mashabiki WA Yanga WAJINGA na hawana Elimu.

Mashabiki WA Yanga ni hawajasoma
 
Habari wana yanga wenzangu.
Kweli yanga tunachukiwa sana,imejizihirisha leo sehemu nilipokuwa nacheki mechi ya yanga na lamba lamba mashabiko wa simba walikuwa wanatukana piga hao mbwa.

Si ghafla azizi k akawafunga mdomo,wakakimbia banda kwa aibu,sasa simba kiko wapi??
Yanga ni timu ya kuifundisha simba na hizo timu nyingine mpira ni dakika 90,na timu inayocheza mpira kwa kufurahisha kwa sasa ni yanga pekee,aisee kesho taifa linaenda kuingia kwenye aibu ya mwaka.

Kesho itakuwa aibu ya mwaka simba itafungwa goli 4 nipo pale nasubria maua yangu nitayapokea kwa mikono miwili,jamaa walikamia sana mechi Leo,wachezaji wa yanga wakafungua bomba la mafuriko kilichowakuta lamba lamba lazima wakalale na viatu.

Kesho mapema nawahi siti ya mbele kwenye banda,kuwacheka makoro.

Yanga nakupenda sanaaaaaaaaa💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛👍👍👍
Unachowaza ndicho hata washabiki Yanga hufanya hivyo kwa Simba wala usishangae
Niliangalia gemu ya Singida Big Stars vs Simba.
Mashabiki wa Yanga walikuwa wanazomea sana wanasema "piga mbwa hao"
 
Habari wana yanga wenzangu.
Kweli yanga tunachukiwa sana,imejizihirisha leo sehemu nilipokuwa nacheki mechi ya yanga na lamba lamba mashabiko wa simba walikuwa wanatukana piga hao mbwa.

Si ghafla azizi k akawafunga mdomo,wakakimbia banda kwa aibu,sasa simba kiko wapi??
Yanga ni timu ya kuifundisha simba na hizo timu nyingine mpira ni dakika 90,na timu inayocheza mpira kwa kufurahisha kwa sasa ni yanga pekee,aisee kesho taifa linaenda kuingia kwenye aibu ya mwaka.

Kesho itakuwa aibu ya mwaka simba itafungwa goli 4 nipo pale nasubria maua yangu nitayapokea kwa mikono miwili,jamaa walikamia sana mechi Leo,wachezaji wa yanga wakafungua bomba la mafuriko kilichowakuta lamba lamba lazima wakalale na viatu.

Kesho mapema nawahi siti ya mbele kwenye banda,kuwacheka makoro.

Yanga nakupenda sanaaaaaaaaa💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛👍👍👍
Unachowaza ndicho hata mashabiki wq Yanga hufanya hivyo kwa Simba wala usishangae
Niliangalia gemu ya Singida Big Stars vs Simba.
Mashabiki wa Yanga walikuwa wanazomea sana wanasema "piga mbwa hao"
 
Bado hujasema,mpaka useme na matako
Baada ya kupewa kichapo na Ihefu na sasa ushindi kwa Azam naona mnafuraha sana.
Zile tambo za 5G hazipo tena. Sasa hivi hata Ally Kamwe, anazungumza kwa adabu na siyo kama zamani.
Mpira ni vitendo siyo kuimba taarabu.
 
Back
Top Bottom