Yanga ni bora kwa sasa CECAFA

Smart codetz

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2023
Posts
218
Reaction score
875
Take it🔥

Ipo hivi,

Yanga sc imevuna alama zote 6 kwa Tp Mazembe.

Imekomba alama 4 kati ya 6 kwa Real Bamako.

Imechukua alama 3 kati ya 6 kwa Us monastir

Kifupi Yanga sc kwa sasa ndio timu bora katika ukanda wetu huu wa Cecafa. Tujivunie

 
Yanga anakuwa Bora kwakua Simba ni kibonde wa kudumu wa Yanga. Ata Rais wa CAF analitambua ilo.
Penye Yanga Simba hana sauti.
 
Kuna watu watanuna. Ila ukweli ni kwamba mpaka sasa Yanga imepanda kutika nafasi ya 75 mpaka nafasi ya 27 katika viwango vya CAF.

Na ikiendelea kusonga hatua mbili zilizobaki, huenda ikapanda nafasi za juu zaidi ndani ya muda mfupi.
 
Kumbuka hiyo ni ligi ya vibonde waliofurushwa ligi ya mabingwa.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Kuna timu hata Arusha kwenye mkutano haikualikwa wakajipeleka wenyewe wakaishia kukaa nje baada ya kuambiwa jamani wanaohusika leo ni wakubwa tuu tanajadili mambo ya supa cup nyie wengine subirini mkue kwanza. Aibu sana
 
Kuna watu watanuna. Ila ukweli ni kwamba mpaka sasa Yanga imepanda kutika nafasi ya 75 mpaka nafasi ya 27 katika viwango vya CAF.

Na ikiendelea kusonga hatua mbili zilizobaki, huenda ikapanda nafasi za juu zaidi ndani ya muda mfupi.
Wasema kweli?
 
Hahaaaa!!!!!!nyani katema bungo,ulikuwa na utopolo wenzako hamtaki kabsa hizi takwimu za CAF
Kuna watu watanuna. Ila ukweli ni kwamba mpaka sasa Yanga imepanda kutika nafasi ya 75 mpaka nafasi ya 27 katika viwango vya CAF.

Na ikiendelea kusonga hatua mbili zilizobaki, huenda ikapanda nafasi za juu zaidi ndani ya muda mfupi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…