Smart codetz
JF-Expert Member
- Jan 25, 2023
- 218
- 875
Take it🔥
Ipo hivi,
Yanga sc imevuna alama zote 6 kwa Tp Mazembe.
Imekomba alama 4 kati ya 6 kwa Real Bamako.
Imechukua alama 3 kati ya 6 kwa Us monastir
Kifupi Yanga sc kwa sasa ndio timu bora katika ukanda wetu huu wa Cecafa. Tujivunie
Ipo hivi,
Yanga sc imevuna alama zote 6 kwa Tp Mazembe.
Imekomba alama 4 kati ya 6 kwa Real Bamako.
Imechukua alama 3 kati ya 6 kwa Us monastir
Kifupi Yanga sc kwa sasa ndio timu bora katika ukanda wetu huu wa Cecafa. Tujivunie