Majok majok
JF-Expert Member
- Aug 3, 2023
- 783
- 2,057
- Thread starter
-
- #41
Ata tukikosa tiyali meseji imefika ya kwamba timu Bora ni ipi, kuingia tu kwenye tuzo za caf barani Africa ukicompete na timu kubwa Kama Aly ahly, whydad, mamelod,raja, ni ujumbe tosha ya kwamba yanga ndio klabu Bora kwa ukanda wa Africa MASHARIKI na kati, timu yako aipo apo inayoishia robo fainali Kila michuano labda muingie kwenye tuzo za kufa KIUMEπ€£π€£Yanga hatupati hata tuzo moja.
Kura zitapigwa nyingi sana lqkini matokeo hayawezi kuwa upande wetu.
Huwezi kushindana na Ahly .
Huwesi kumshinda Onana.
Na Mayele yumo.CAF wanathibitisha ubora wa Yanga kivitendo ndio maana wameiteua kuingia kwenye tuzo zao za kuchagua Timu Bora barani Africa kwa mwaka 2023.
Yanga ni timu pekee kwa Ukanda wa Africa Mashariki iliyoingia kugombania tuzo hizo!
Yanga hawakuingia kwa bahati mbaya bali wamebebwa kwa mafanikio yao na usajili bora wa kikosi husika walichonacho, ndio maana pia wametoa Kipa Djigui Diara kugombania tuzo ya kipa Bora barani Afrika!
Unaposema timu yako ni Bora basi CAF wenyewe ndio wenye vigezo halisi vya kujua timu gani ni Bora na sio propaganda za kwenye mitandao na vijiwe vya kahawa!
Timu nyingine ambazo kutwa nzima zinashinda kwenye media na kujiita Bora sijaziona na wala sijaona hata mchezaji wao mmoja ameingia kwenye tuzo hizo za Afrika, kupiga domo na porojo bila uhalisia ni sawa na kumnyemelea kiziwi ukidhani anakusikia!
Kitendo cha CAF kuichagua Yanga kuingia kwenye tuzo hizo ni ishara tosha ya kwamba yanga iko vizuri na itaendelea kuwa vizuri siku hadi siku!
Kongole Eng. Hersi Said na Menejiment nzima kwa kazi kubwa mnayoendelea kuifanya na Mungu awabariki.ππππ
Sawa tu ila tumeonyesha njia.Yanga hatupati hata tuzo moja.
Kura zitapigwa nyingi sana lqkini matokeo hayawezi kuwa upande wetu.
Huwezi kushindana na Ahly .
Huwesi kumshinda Onana.
Adui yako mwombee njaaRoho mbaya haijengi
hujamuona pia mayele pale!CAF wanathibitisha ubora wa Yanga kivitendo ndio maana wameiteua kuingia kwenye tuzo zao za kuchagua Timu Bora barani Africa kwa mwaka 2023.
Yanga ni timu pekee kwa Ukanda wa Africa Mashariki iliyoingia kugombania tuzo hizo!
Yanga hawakuingia kwa bahati mbaya bali wamebebwa kwa mafanikio yao na usajili bora wa kikosi husika walichonacho, ndio maana pia wametoa Kipa Djigui Diara kugombania tuzo ya kipa Bora barani Afrika!
Unaposema timu yako ni Bora basi CAF wenyewe ndio wenye vigezo halisi vya kujua timu gani ni Bora na sio propaganda za kwenye mitandao na vijiwe vya kahawa!
Timu nyingine ambazo kutwa nzima zinashinda kwenye media na kujiita Bora sijaziona na wala sijaona hata mchezaji wao mmoja ameingia kwenye tuzo hizo za Afrika, kupiga domo na porojo bila uhalisia ni sawa na kumnyemelea kiziwi ukidhani anakusikia!
Kitendo cha CAF kuichagua Yanga kuingia kwenye tuzo hizo ni ishara tosha ya kwamba yanga iko vizuri na itaendelea kuwa vizuri siku hadi siku!
Kongole Eng. Hersi Said na Menejiment nzima kwa kazi kubwa mnayoendelea kuifanya na Mungu awabariki.ππππ
Kwa maana hiyo na vilabu vingine vyote vilivyoingia kwenye kuwania tuzo za CAF, navyo pia ni vilabu bora Afrika kwa mwaka 2022/2023? Tutakuwa na vilabu vingapi bora vya mwaka Afrika kama kigezo cha ubora ni kuchaguliwa kuwania?Yanga ni Klabu Bora Afrika kwa Mwaka 2022/2023 ndio maana imeingia kwenye Tuzo za CAF!
Kama auna vigezo auwezi kuchaguliwa kuwania, waliokidhi vigezo ndio uchaguliwa kuwania, unajua maana ya neno "kuchuja"? Kuchuja ni kuondoa takataka au vitu visivyohitajika au makapi na kubakiza cream ya vitu vinavyohitajika!Kwa maana hiyo na vilabu vingine vyote vilivyoingia kwenye kuwania tuzo za CAF, navyo pia ni vilabu bora Afrika kwa mwaka 2022/2023? Tutakuwa na vilabu vingapi bora vya mwaka Afrika kama kigezo cha ubora ni kuchaguliwa kuwania?
Umeangalia title ya uzi wako lakini? Ngoja niinukuu tena:Kama auna vigezo auwezi kuchaguliwa kuwania, waliokidhi vigezo ndio uchaguliwa kuwania, unajua maana ya neno "kuchuja"? Kuchuja ni kuondoa takataka au vitu visivyohitajika au makapi na kubakiza cream ya vitu vinavyohitajika!
Kwa maana iyo jibu unalo ya kwamba timu yako aimo baada ya kuchujwa!!!
Acha ujinga..ataeshinda ndiyo atakuwa boraCAF wanathibitisha ubora wa Yanga kivitendo ndio maana wameiteua kuingia kwenye tuzo zao za kuchagua Timu Bora barani Africa kwa mwaka 2023.
Yanga ni timu pekee kwa Ukanda wa Africa Mashariki iliyoingia kugombania tuzo hizo!
Yanga hawakuingia kwa bahati mbaya bali wamebebwa kwa mafanikio yao na usajili bora wa kikosi husika walichonacho, ndio maana pia wametoa Kipa Djigui Diara kugombania tuzo ya kipa Bora barani Afrika!
Unaposema timu yako ni Bora basi CAF wenyewe ndio wenye vigezo halisi vya kujua timu gani ni Bora na sio propaganda za kwenye mitandao na vijiwe vya kahawa!
Timu nyingine ambazo kutwa nzima zinashinda kwenye media na kujiita Bora sijaziona na wala sijaona hata mchezaji wao mmoja ameingia kwenye tuzo hizo za Afrika, kupiga domo na porojo bila uhalisia ni sawa na kumnyemelea kiziwi ukidhani anakusikia!
Kitendo cha CAF kuichagua Yanga kuingia kwenye tuzo hizo ni ishara tosha ya kwamba yanga iko vizuri na itaendelea kuwa vizuri siku hadi siku!
Kongole Eng. Hersi Said na Menejiment nzima kwa kazi kubwa mnayoendelea kuifanya na Mungu awabariki.ππππ
Kuchaguliwa tu kuwania tuzo aijalishi imeshinda ama aijashinda ni kigezo tosha Cha ubora wake, Kwani afrika MASHARIKI Kuna timu ngapi? Kwanini iwe yanga? Kwanini isiwe Simba? Uwezi kuchaguliwa kugombania tuzo Kama timu yako aikidhi vigezo, Ile pale sio sandakarawe mwenye kupata apate, utaingia kwenye tuzo Kama umekidhi vigezo vya kuingia na sio vinginevyo!Umeangalia title ya uzi wako lakini? Ngoja niinukuu tena:
"Yanga ni Klabu Bora Afrika kwa Mwaka 2022/2023 ndio maana imeingia kwenye Tuzo za CAF!"
Je, kura zimeshapigwa na Yanga ikatangazwa?
Lazima wawemo maana kwa vigezo vya caf na mafanikio amuwafikii wao walicheza NUSU fainali kombe la shirikisho je wewe ulifika iyo stage? Kwa maana iyo malumo wako juu ya mwakarobo!Nasikia na Marumo Gallants nao wamo [emoji3][emoji3]
Leta ranks tuone kama wako juu, mafaniko hayapimwi hivyo. Kwamba leo ukipata billion 10 Kesho ukawa huna hata 100 utajisema una mafanikio?Lazima wawemo maana kwa vigezo vya caf na mafanikio amuwafikii wao walicheza NUSU fainali kombe la shirikisho je wewe ulifika iyo stage? Kwa maana iyo malumo wako juu ya mwakarobo!
Mafanikio yao ni kucheza NUSU fainali kombe la shirikisho barani afrika vipi Simba ilifika hatua Gani?Leta ranks tuone kama wako juu, mafaniko hayapimwi hivyo. Kwamba leo ukipata billion 10 Kesho ukawa huna hata 100 utajisema una mafanikio?