koboG
JF-Expert Member
- Apr 3, 2016
- 2,763
- 5,167
Hapo kwenye picha unamuona nani?Nyie Mwakarobo mlibeba ipi? Maneno ya mkosaji hayo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo kwenye picha unamuona nani?Nyie Mwakarobo mlibeba ipi? Maneno ya mkosaji hayo.
Team bora kwa kucheza Europa😃😃😃Dhahiri shahiri.. Yanga ina stahili kabisa! Hakuna cha kupepesa maneno..sito shangaa Yanga wakichukua Timu bora afrika!
Kwa Caf au wapi ?Hata Malumo wameingia na wameshuka Daraja.....
Aibu sana
Wanapiga kura mtandaoni au kamati itakaa na kutea jina la timu moja?Team bora iache kutoka kwenye CAF champions league ije huku kwenye confideration😃😃😃😃
Yanga kaingia kwenye kwenye kinyanganyiro kutokana na mafanikio yake ila hawezi kuchukua msijisahaulishe hilo mlishindwa kutoboa makundi ya champion
Marumo ilicheza nusu fainali shirikisho. una lingine?Hata Malumo wameingia na wameshuka Daraja.....
Aibu sana
Simba ilishachukua kupitia papeHii habari.. ime wachanganya sana makolo-mbwezo efusi.. tena kama tunavyoelekea kwenye Darby..
Sijajua itakuwa kwa njia gani ila kama ni kupiga kura. . Asee nitapigia mamelodi😃Wanapiga kura mtandaoni au kamati itakaa na kutea jina la timu moja?
HahahahahahahaSijajua itakuwa kwa njia gani ila kama ni kupiga kura. . Asee nitapigia mamelodi😃
Hamna jipya.Hapo kwenye picha unamuona nani?
Hakuna namna mkuu mtaani patulieHahahahahahaha
Sawa sawaHakuna namna mkuu mtaani patulie
Hata Malumo wameingia na wameshuka Daraja.....
Aibu sana
Sio Malumo ni Marumo.Hata Malumo wameingia na wameshuka Daraja.....
Aibu sana
Sasa walioyoboa makundi champion mbona hawapo? ni kwa nini?Team bora iache kutoka kwenye CAF champions league ije huku kwenye confideration😃😃😃😃
Yanga kaingia kwenye kwenye kinyanganyiro kutokana na mafanikio yake ila hawezi kuchukua msijisahaulishe hilo mlishindwa kutoboa makundi ya champion
Roho mbaya haijengiSijajua itakuwa kwa njia gani ila kama ni kupiga kura. . Asee nitapigia mamelodi😃