ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Timu yako mara ya mwisho kumfunga Azam FC ilikua lini?Kabisa mkuu yanga hawana kabisa plan wana tegemea bahati tu.. aibu ya taifa inakuja mechi na al ahly
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Timu yako mara ya mwisho kumfunga Azam FC ilikua lini?Kabisa mkuu yanga hawana kabisa plan wana tegemea bahati tu.. aibu ya taifa inakuja mechi na al ahly
Kwamba Yanga ni mbovu sababu ya Azam? Uzuri hii ni ligi Makolo mtakutana nao na uzuri tumeishawajeruhi. Hii Azam ni timu ngumu sio ya kubeza hata kidogo.Gamondi ball is terrible, 🚮yanga players are disjointed, very terrible game play, caf champions league. wanaenda kutalii. they don't have a team. truth to be told
PREDICTION GAMONdi OUT BY FEBRUARY
acha kukaza kichwa, this was a petty winKwamba Yanga ni mbovu sababu ya Azam? Uzuri hii ni ligi Makolo mtakutana nao na uzuri tumeishawajeruhi. Hii Azam ni timu ngumu sio ya kubeza hata kidogo.
SIO kweli, wewe unakaza kichwa ila that was bad footballMpira tunauangalia tofauti sana. Kuna mtu dakika 90 zote anachezesha kichwa, kushoto, kulia, kushoto, kulia hadi Mpira unaisha, lakini hajaambulia chochote zaidi ya kujua matokeo tu
Timu yako mara ya mwisho kumfunga simba ilikuwa ni lini ?Timu yako mara ya mwisho kumfunga Azam FC ilikua lini?
Hata wewe una sumbuliwaga na IhefuHuyu Azam aliyefungwa leo, ndiye anakusumbuaga na kushindwa kupata matokeo mazuri mbele yake, Yanga kaishamaliza hesabu zake kwa mzunguko wa kwanza dhidi ya Azam. Bado nyie mnakazi nae pia
Kwa hiyo kama yanga ni mbovu imekuwaje tena??mbona uzi unakimbia??usipende kuropokaGamondi ball is terrible, 🚮yanga players are disjointed, very terrible game play, caf champions league. wanaenda kutalii. they don't have a team. truth to be told
PREDICTION GAMONdi OUT BY FEBRUARY
Mwanamke na mpira wapi na wapi nenda kamuwekee mumeo maji bafuni,nyie kazi yenu kupiga umbeya mpira huweziKaeni mjue kwa Simba hii Azam wajipange sana....hakuna historia hapa
Pompoma againGamondi ball is terrible, [emoji706]yanga players are disjointed, very terrible game play, caf champions league. wanaenda kutalii. they don't have a team. truth to be told
PREDICTION GAMONdi OUT BY FEBRUARY
Ukweli uujue wewe?watu awataki ukweli
Niko pale pale nawasubiriNakazia, asichojua mpaka sasa gamondi ameshafanikiwa kufikia lengo la kuifikisha timu hatua ya makundi CAF
dude look at my previous threads, I don't lieKwa hiyo kama yanga ni mbovu imekuwaje tena??mbona uzi unakimbia??usipende kuropoka
Kama inauma, chomoa.Kabisa mkuu yanga hawana kabisa plan wana tegemea bahati tu.. aibu ya taifa inakuja mechi na al ahly
seriously, your brain cell ndo mwisho wake, hapo. please look at my threads. I always say wat I see, you tell me wat makes this yanga great!??Pompoma again
Poa petty win au sio, tusubiri kuwaona nyie Wanga.acha kukaza kichwa, this was a petty win
Sawa mkuuNiko pale pale nawasubiri
true, but yanga was not overly corrected. too many mistakes and instability . azam could do more damages if they were ruthless. yanga fell off 🚮azam alikuja akiwa amepania , hii ilisababisha mechi iwe ya msukumo mkubwa .
Vilevile kocha wao mpya ameleta badiliko