Yanga ni mwakambwembwe hawawezi kuwa makarobo

Yanga ni mwakambwembwe hawawezi kuwa makarobo

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Hizi ni koo mbili tofauti kabisa zenye vipawa visivyolingana kabisa.

Ukitaka kuwa maarufu bila ya umaarufu, nenda Yanga ukasifiwe hadi ujione wewe ndiyo wewe.

Ukienda Simba utapata mafanikio bila ya makele. Simba ni timu ya watu wasiojisifu.

Yanga wana mbwembwe Sana, nakumbuka miaka ya tisini mwishoni na Elfu mbili mwanzoni Yanga walipokuwa wanajiita "wa kimataifa" kisa kucheza hatua ya makundi michuano ya CAF.

Sasa leo kila timu wanayocheza nayo ni ngumu ila timu zoote zinazocheza na Simba ndiyo mbovu. Hizi mbwembwe ndizo zinaitofautisha Simba na Yanga.

Tusubiri tuone kama watabakia kwenye ukoo wao wa Mwakambwembwe ama wataunga ukoo na Simba na kuwa kina Mwakarobo.
 
Alishafika tayari, wakati huo wewe ulikuwa ukinyonya maziwa, hivyo huwezi kwa na kumbukumbu kuhusu Simba na Stella Abdjan.
 

Attachments

  • Screenshot_20250113-095007.png
    Screenshot_20250113-095007.png
    231 KB · Views: 6
  • Screenshot_20250113-095148.png
    Screenshot_20250113-095148.png
    269.2 KB · Views: 5
Alishafika tayari, wakati huo wewe ulikuwa ukinyonya maziwa, hivyo huwezi kwa na kumbukumbu kuhusu Simba na Stella Abdjan.
Kombe la Stela limechezwa kitandani hakuna picha wala medali 😂😂😂 mbumbumbu will always be mbumbumbu, Hakuna timu yoyote Tanzania iliyowahi kucheza fainali CAF tofauti na Yanga.
 
Hizi ni koo mbili tofauti kabisa zenye vipawa visivyolingana kabisa.

Ukitaka kuwa maarufu bila ya umaarufu, nenda Yanga ukasifiwe hadi ujione wewe ndiyo wewe.

Ukienda Simba utapata mafanikio bila ya makele. Simba ni timu ya watu wasiojisifu.

Yanga wana mbwembwe Sana, nakumbuka miaka ya tisini mwishoni na Elfu mbili mwanzoni Yanga walipokuwa wanajiita "wa kimataifa" kisa kucheza hatua ya makundi michuano ya CAF.

Sasa leo kila timu wanayocheza nayo ni ngumu ila timu zoote zinazocheza na Simba ndiyo mbovu. Hizi mbwembwe ndizo zinaitofautisha Simba na Yanga.

Tusubiri tuone kama watabakia kwenye ukoo wao wa Mwakambwembwe ama wataunga ukoo na Simba na kuwa kina Mwakarobo.
Lakin simba kapigwa mara 4 mfululizo na Yanga, nani alikuwa abapokea bahasha, mangungu au ? Hahahaha YANGA JESHI LILILOSHINDIKANA
 
Kombe la Stela limechezwa kitandani hakuna picha wala medali 😂😂😂 mbumbumbu will always be mbumbumbu, Hakuna timu yoyote Tanzania iliyowahi kucheza fainali CAF tofauti na Yanga.
Ndio maana nasema enzi hizo mlikuwa mkinyonya maziwa. Hamuwezi kuwa na kumbukumbu kamili. Hebu tembelea hii link 1993 CAF Cup - Wikipedia
 
Back
Top Bottom